Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
kipolepole siku izi nae ananifurahisha sanaWanaochanjwa wenyewe bado wanakufa na fedha zao kibao....mimi fukara hiyo chanjo itanisaidia nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipolepole siku izi nae ananifurahisha sanaWanaochanjwa wenyewe bado wanakufa na fedha zao kibao....mimi fukara hiyo chanjo itanisaidia nn
OK twasubiri, ingawaje hukuyaweka vizuri matokeo tarajiwa ili ije kuwa raisi kuyapima YAMESAIDIAJE.Najua watu wa Bara munamchukia sana baadhi yenu Mama etu Mpendwa Raisi Samia Suluhu lkn hili jambo analilifanya mutakuja kumshukuru sana baada ya kuondoka kwake hili jambo ndilo litakao leta maendelea ya kweli Tanzania /Tanganyika .Watakuja Investors wa uhakika na kutakuwa na maendeleo makubwa sana sana Ule ukosefu wa kazi utakuwa mwiko .Tour guide hajaakosea kwa sababu hili jambo analisimamia mwenyewe its serous business ndio maana akalisimamia mwenyewe .Wajinga wengi hapa JF na Tanganyika hawana vision wanaona hii Dunia iko hivi hivi tu hawajui chochote kuhusu Ulimwengu unavyokwenda kama kweli wewe una akili Raisi avunje kazi zake ende kulisimamia jambo hili sio masihara halafu unamponda na kumlani wakati anawatengezeni nyie kuhusu mustakbali wenu pamoja na watoto wenu basi bla blaa blaa nyingi Wabongo mushazoea kupanda punda farasi hamuwezi ndio maana Kenyata alimwambia Nyerere umetawala Maiti.Raisi Samia tuko Pamoja sisi Wazanzibari tunafahamu fika juhudi zako chapa kazi Mama angu watakukumbuka.Zanzibar kilio chetu ni Serikali Tatu(3) tu.
Usiandike yasiyo kuhusu acha uzuzuSijui...kama nmekosea mtanikosoa. But tusifikie hatua hii ya mtu kuandika kuwa yupo na tour guide rais wa tanzania samia suluhu. Tena bila hata kuweka H.E kama vile anaongelea tu kitu cha kawaida.
View attachment 1934034View attachment 1934036
Usidandie waume wasio kuhusu acha Umalaya.Usiandike yasiyo kuhusu acha uzuzu
Hakuna cha ajabu hapoKasema ni very special tour guide, kwa hiyo hilo nalo uliweke kichwani.....na sidhani kuwa tour guide ni laana.
Mama kaitaka mwenyeweKwani ni uongo?
Ni kweli mama ameamua kuwa tour guide, na anaipenda hiyo kazi.
Kwanini kuna shida mtu kuwa tour guide?
Mama ameipenda hiyo kazi, mwacheni aifanye kazi yake.
Ngoja wajeSijui...kama nmekosea mtanikosoa. But tusifikie hatua hii ya mtu kuandika kuwa yupo na tour guide rais wa tanzania samia suluhu. Tena bila hata kuweka H.E kama vile anaongelea tu kitu cha kawaida.
View attachment 1934034View attachment 1934036
Johnson And Johnson Mpango Wa CovaxWe umeshachanjwa ?😁
😀😃😄😁😆😅🤣😂 Mabeberu Sasa Hivi HawatupendiWengine tunamchukulia kama mama ndo maana tunaona hadi wivu kushikwa na mzungu😀😀
Kwani uwongo ni tour guide a.k.a hangayaSijui...kama nmekosea mtanikosoa. But tusifikie hatua hii ya mtu kuandika kuwa yupo na tour guide rais wa tanzania samia suluhu. Tena bila hata kuweka H.E kama vile anaongelea tu kitu cha kawaida.
View attachment 1934034View attachment 1934036