Si vyema kumuita Rais wetu Tour Guide. Na hii picha kweli huyu Mzungu anaonesha dharau kubwa kwetu

Si vyema kumuita Rais wetu Tour Guide. Na hii picha kweli huyu Mzungu anaonesha dharau kubwa kwetu

But, how can International Tourists dare visit A Terrorist- striken Country?!
 
Najua watu wa Bara munamchukia sana baadhi yenu Mama etu Mpendwa Raisi Samia Suluhu lkn hili jambo analilifanya mutakuja kumshukuru sana baada ya kuondoka kwake hili jambo ndilo litakao leta maendelea ya kweli Tanzania /Tanganyika .Watakuja Investors wa uhakika na kutakuwa na maendeleo makubwa sana sana Ule ukosefu wa kazi utakuwa mwiko .Tour guide hajaakosea kwa sababu hili jambo analisimamia mwenyewe its serous business ndio maana akalisimamia mwenyewe .Wajinga wengi hapa JF na Tanganyika hawana vision wanaona hii Dunia iko hivi hivi tu hawajui chochote kuhusu Ulimwengu unavyokwenda kama kweli wewe una akili Raisi avunje kazi zake ende kulisimamia jambo hili sio masihara halafu unamponda na kumlani wakati anawatengezeni nyie kuhusu mustakbali wenu pamoja na watoto wenu basi bla blaa blaa nyingi Wabongo mushazoea kupanda punda farasi hamuwezi ndio maana Kenyata alimwambia Nyerere umetawala Maiti.Raisi Samia tuko Pamoja sisi Wazanzibari tunafahamu fika juhudi zako chapa kazi Mama angu watakukumbuka.Zanzibar kilio chetu ni Serikali Tatu(3) tu.
OK twasubiri, ingawaje hukuyaweka vizuri matokeo tarajiwa ili ije kuwa raisi kuyapima YAMESAIDIAJE.
Tutakapo kuja kuanza kuhoji na kuulizia kuuliza mafanikio ya kweli, yasianze TENA kutoka kwenu, madai ya kuwa kuna kupingwa kupingwa au sijui, kutukanwa.
Tatizo la mambo ya kuanzishwa haraka haraka kwa PAPARA huwa yanakosa tathmini ya awali ambayo ni muhimu sana katika MIPANGO imara. Yaonekana kama vile hatukujifunza kwa yaliyotokea awamu ya tano.
 
Kupiga picha sio tatizo. Lakini ingetosha kusimama bila kushikana mikono kwa namna inavyoonekana. Kiafrika hiyo picha tafsiri yake ni kati ya au wenza wawili au babu na mjukuu, bahati mbaya ni ya mtalii na mkuu wa nchi.

Bila shaka kwao huyo mzungu ni furaha sana lakini hapa kwetu sidhani ushahidi ni michango iliyo humu.

Wahusika mnaomsaidia mkuu tunawaomba msiruhusu tena jambo kama hili mnatukwaza raia.
 
Kwani ni uongo?
Ni kweli mama ameamua kuwa tour guide, na anaipenda hiyo kazi.
Kwanini kuna shida mtu kuwa tour guide?
Mama ameipenda hiyo kazi, mwacheni aifanye kazi yake.
Mama kaitaka mwenyewe
 
Haya mambo ya Uheshimiwa heshimiwa tunayajua sana Africa. Eti His/Her Excellence. Nchi a wenzetu kama vile US huwezi kusikia kila siku His Excellence... They only go direct Mr President or President so and so.
 
Mleta mada mshamba tu. Wenzetu kuwa tour guide, mlinzi, mhudumu wa baa au mgahawani ni kitu cha kawaida kabisa! Na ni kwa sababu hizo ni kazi HALALI!!

Wewe ndio una dharau na kazi hii ya tour guide! Ujinga na upumbavu vimekutana na kuishi kichwani kwako mpaka kichwa kinakuuma[emoji23][emoji23]
 
Wengine tunamchukulia kama mama ndo maana tunaona hadi wivu kushikwa na mzungu😀😀
 
Back
Top Bottom