Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] muna machupi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo jina lake aliiba chupi ya wema akapeleka kwa mganga[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Basi watu aina ya lulu akianzisha ushost nawe jifikirie mara mbili mbili madhumun ya urafiki huo
Na alivyo na tabia za kuwabeba watu wa wenzie ni bora aendelee hivyo hivyo .

kipindi katoka jela akanzishaa ushoga na husna mwisho akambebea Seki....lulu ni silent killer sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Muna naona ndiyo maana walishindwana na Wema, wote walikutana wanapenda kujiweka juu
 
Lol! Kama alieza kwenda kummwagia zari hela wakati wa 40 ya tiffah kumbe anamla kisogo analala na diamond na kutaka kumpindua, nini kikufanye uamini yuko sincere kwa lulu, hamisa MNAFIKI wa taifa! Ni nyoka mwenye simu kali haswaaaa!
Nilishasahau unafki wake huo.
 
Back
Top Bottom