Siamini kama ni kweli Alhaji Mzee Mwinyi alisahau pale panaitwa Chato

Siamini kama ni kweli Alhaji Mzee Mwinyi alisahau pale panaitwa Chato

si nilisikia ndo anaitwa babu wa taifa?binafsi ninapenda alichokifanya maana alisaidia kuondoa ukiwa na majonz kwa dakika kadhaa hv ambayo waombolezaj yaliwapata na walikuwa wamegubikwa nayo...uzee dawa jaman
 
Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!


Mkuu acha hicho kitu, katika Umri wa huyo mzee ni jambo la kawaida kabisa hata inawezekana akaulizwa ataje jina lake na akatumia sekunde kadhaa kulitaja, sio ajabu mkuu.

Na ndio maana ile hotuba yake aliandikwa.
 
Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Leta hoja za maana hii peleka jukwaa la watoto wambea
 
Huyu new page amejiunga March 22_,2021 ,ametuma meseji 123,kwahyo ni limbukeni ndio maana anaanzisha anzisha nyuzi bila reasoning ,...naomba asamehewe bado hajatimiza wiki tatu Yani siku21 kifaranga kinapotokea
 
Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Mkuu Mwinyi yupo over 90, sasa kwa umri wa miaka 40 tu watu huwa wanapata shida ya kusahau hadi akae kama dakika 5 akumbuke nini anahitaji kufanya itakuwa miaka 90? nakumbuka akiwa rais alikuwa pia anasahau au hataji kwa usahihi maeneo aliyokuwa anafanya ziara hasa wilayani...
 
Mama Nyerere yeye aliongea live

Sisi walisema tuje kuongeza vichwa, tumeletwa kuongeza vichwa, kwanza mimi nilikataa wakanilazimisha.

😀😀😀
Hhahaha....hii jamaa walitunga..
 
Mama Nyerere yeye aliongea live

Sisi walisema tuje kuongeza vichwa, tumeletwa kuongeza vichwa, kwanza mimi nilikataa wakanilazimisha.

[emoji3][emoji3][emoji3]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alitia foraa
 
Ngojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?

Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba anaweza kusahau hata jinsia yake??.
 
Ngojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?

Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...

Nini kukumbuka jinsia yake hata kutoka kitandani hawezi anafanyiwa kila kitu
 
Back
Top Bottom