witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Heee kwahiyo almost analingana na babu nyerere? Au nae 1922 ni wrong recordMwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee kwahiyo almost analingana na babu nyerere? Au nae 1922 ni wrong recordMwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..
Hili swali ndio najiuliza na mimi mpaka Leo.Mzee yule ujanani sijui alikuwa anakula nini miaka 96 bila hata kuvaa miwani
Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Kamuzu Banda wa Malawi aliuliza mahakama "have I ever been a president in my life"?
Alikuwa na more than 95yrs.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Umajuaje au ulishuhudia wakati nazaliwa?Mwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..
Leta hoja za maana hii peleka jukwaa la watoto wambeaAlikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Mkuu Mwinyi yupo over 90, sasa kwa umri wa miaka 40 tu watu huwa wanapata shida ya kusahau hadi akae kama dakika 5 akumbuke nini anahitaji kufanya itakuwa miaka 90? nakumbuka akiwa rais alikuwa pia anasahau au hataji kwa usahihi maeneo aliyokuwa anafanya ziara hasa wilayani...Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Hhahaha....hii jamaa walitunga..Mama Nyerere yeye aliongea live
Sisi walisema tuje kuongeza vichwa, tumeletwa kuongeza vichwa, kwanza mimi nilikataa wakanilazimisha.
😀😀😀
La Nyerere sijui.. ila mwinyi ni record mbovuHeee kwahiyo almost analingana na babu nyerere? Au nae 1922 ni wrong record
Ukindua sana ina tatizo?Itakuwa alikuwa na nidhamu sana kwenye papuchi,.
Mama Nyerere yeye aliongea live
Sisi walisema tuje kuongeza vichwa, tumeletwa kuongeza vichwa, kwanza mimi nilikataa wakanilazimisha.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe umefika mkuu ndo mana unaamini sio ?😀😀😀Huwezi kuamini mpaka utakapofika huo umri yani
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba anaweza kusahau hata jinsia yake??.Ngojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?
Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...
[emoji849] makubwa, toka kusahau kwa babu mpaka umri wa mkeweMke wa Mwinyi Mkubws kamzidi Mwiyi miaka 2
Ngojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?
Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...