Hhahaha....hii jamaa walitunga..
Alionesha live kwenye tv ilikuwa campaign kule Mkoa wa mara. Uchaguzi mkuu October 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhahaha....hii jamaa walitunga..
mleta maada kuna kitu unata ila umeshindwa kukiwasilisha moja kwa mojaAlikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Yeah ni kweliMwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..
Kitu gani maze?mleta maada kuna kitu unata ila umeshindwa kukiwasilisha moja kwa moja
Chato ni maarufu siku hizi au tuseme awamu ya tano. Unajua kuna baadhi ya sehemu marais hawafiki kabisa? Ukizingatia enzi zao hata barabara zilikuwa mgogoro.Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Chato ni maarufu siku hizi au tuseme awamu ya tano. Unajua kuna baadhi ya sehemu marais hawafiki kabisa? Ukizingatia enzi zao hata barabara zilikuwa mgogoro.
Aseeeee!Chato ni maarufu siku hizi au tuseme awamu ya tano. Unajua kuna baadhi ya sehemu marais hawafiki kabisa? Ukizingatia enzi zao hata barabara zilikuwa mgogoro.
Wakati wa utawala wake neno chato lilikuwa limetajwa mara nne tu serikàliniHuamini?
Upo sahihi sanaMwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..
Hii hapaProve
Asante sana Mkuu kwa Ushahidi huu!Upo sahihi sanaView attachment 1744855
Kumbe nae alianza na ualimu[emoji848][emoji848]Upo sahihi sanaView attachment 1744855
Sasa mke utamsahau vip watuwazaman hawataki hata mavitanda yenu haya eti sita kwa nane ukishituka mpaka umtafuteIla mke anamkumbuka 🤣🤣🤣🤣🤣 hapa ndio unapojua nguvu ya mbususur
Mzee alijitahidi sanaAlikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Fikiria miaka 65 ijayo utakuwa unakumbuka niniAlikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!