Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Wanajamvi mnanielewa vema kwenye masuala ya msingi siyumbagi na kuangalia Kama ama Nina rafiki ataonaje msimamo wangu!

Polepole na uongo na siasa za ujanja janja

Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba ulieleza kwamba ziende kuongezwa speed y’a engine Kumbe ulilipwa 150,000 Kwa maudhui hayo kutudanganya ili apite!

Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya, unajua pesa wamepewa Kina Mashinji na Nassary na wapinzani kuhama!

We umekuwa na dharau kubwa Kwa Mama Samia tokea akiwa Makamu! Niliweka ushahidi ukaomba niufute Kwa kuwa ntagawa chama ila Umehujumu kila Njia y’a SAMIA akiwa Makamu!!! Kampeni na wasanii ulidiriki kutamka mbele ya Steven Nyerere kwamba msihangaike na Huyo bibi ambaye kauli zake zinaishia Koridoni wakati kwenye ofisi yupo Muhusika, hata Kipindi Magufuli amekufa kundi lenu lilikuwa nyuma ya Mpango wa kutoruhusu Mama awe Rais, SIRRO na Mabeyo wanajua (Dokezo) likatoka.

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!

Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni kuhadaa watanzania!

Polepole Huna kabisa Legitimacy ya kutudanganya

Mmeteka mmeua mmeshambulia,

Wangapi umekuwa unakula pesa yao Kwa ahadi ya Kuwahamisha vituo vya kazi kutoka Mara? Na kuwaahidi Vyeo!?

Tumkosoe Rais ila si kumkwamisha.

Tunatakiwa Kuelewa kwamba Nchi ni yetu sote
 
Okay, tunafurahi kukufahamu wengine wetu ndo kwanza tunakusoma leo kwa mara ya kwanza, kwa hiyo wewe ndo kipimo cha JF na kwamba sasa mjadala ufungwe kwa kuwa umeshaongea ?
 
Huyu jamaa nilimchukiaga kipindi kile cha uchaguzi alikua anamuita marehemu maalim Sharif et BABU MANDEVU
 
Maneno mazito haya 👇

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!
 
Mkuu tafadhali pitia tena bandiko kisha ufanye “editing” ili tuwe msitari mmoja moja kwa moja.

Mfano kwenye “malipo yake Pole pole kwa maudhui ya kutudanganya kwenye ufisadi wa 710M TZS”, umesema yalikuwa ni 150,000/= labda ulitaka kuandika 150,000,000/=?

Trillion 1.5 iliyopelekwa “Seychellois” ulitaka kusema Seychelles?
 
Okay, tunafurahi kukufahamu wengine wetu ndo kwanza tunakusoma leo kwa mara ya kwanza, kwa hiyo wewe ndo kipimo cha JF na kwamba sasa mjadala ufungwe kwa kuwa umeshaongea ?
Kama ulivyosema kuwa unamsoma leo, basi chukua muda kidogo kujifunza hapa JF kabula ya kuhitimisha kama ulivyohitimisha.
 
Alifikiri mungu wao ataishi milele na wakaanza mchakato kutaka huyo mungu wao atawale milele lakini kwa bahati Mungu wa kweli kafanya yake.
Sasa kapagawa amekuwa akiropoka kama mchawi aliyelishwa usembe.
 
Kama ulivyosema kuwa unamsoma leo, basi chukua muda kidogo kujifunza hapa JF kabula ya kuhitimisha kama ulivyohitimisha.

Sijahitimisha nimeuliza swali, nafikiri kuna tofauti .
 
Maneno mazito haya [emoji116]

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!
Hii Habari ni nyeti na ni nzito katika Mataifa yenye Mifumo mizuri ya Utawala
 
Polepole anapelekewa Moto kila sehemu na haya ndo mavuno ya matendo yake kipindi Cha Kayafa
Polepole hana mwisho mzuri,, laana ya watu waliopotea itamtafuna yeye na kizazi chake hadi cha saba[emoji86][emoji86],hawataajirika popote, watakuwa watu wenye nux chungu nzima,,
RIP Lwajabe
 
Wanajamvi mnanielewa vema kwenye masuala ya msingi siyumbagi na kuangalia Kama ama Nina rafiki ataonaje msimamo wangu!

Polepole na uongo na siasa za ujanja janja

Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba ulieleza kwamba ziende kuongezwa speed y’a engine Kumbe ulilipwa 150,000 Kwa maudhui hayo kutudanganya ili apite!

Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya, unajua pesa wamepewa Kina Mashinji na Nassary na wapinzani kuhama!

We umekuwa na dharau kubwa Kwa Mama Samia tokea akiwa Makamu! Niliweka ushahidi ukaomba niufute Kwa kuwa ntagawa chama ila Umehujumu kila Njia y’a SAMIA akiwa Makamu!!! Kampeni na wasanii ulidiriki kutamka mbele ya Steven Nyerere kwamba msihangaike na Huyo bibi ambaye kauli zake zinaishia Koridoni wakati kwenye ofisi yupo Muhusika, hata Kipindi Magufuli amekufa kundi lenu lilikuwa nyuma ya Mpango wa kutoruhusu Mama awe Rais, SIRRO na Mabeyo wanajua (Dokezo) likatoka.

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!

Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni kuhadaa watanzania!

Polepole Huna kabisa Legitimacy ya kutudanganya

Mmeteka mmeua mmeshambulia,

Wangapi umekuwa unakula pesa yao Kwa ahadi ya Kuwahamisha vituo vya kazi kutoka Mara? Na kuwaahidi Vyeo!?

Tumkosoe Rais ila si kumkwamisha.

Tunatakiwa Kuelewa kwamba Nchi ni yetu sote
Aiseee!!

IMG_20211029_105959.jpg
 
Back
Top Bottom