Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

Polepole hana mwisho mzuri,, laana ya watu waliopotea itamtafuna yeye na kizazi chake hadi cha saba[emoji86][emoji86],hawataajirika popote, watakuwa watu wenye nux chungu nzima,,
RIP Lwajabe
CCM
FB_IMG_15805053448797833.jpg
 
Maneno mazito haya [emoji116]

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!
Inabidi tuite FBI forensic team ili kufanya uchunguzi wa kina kuhusu hili
 
Wanajamvi mnanielewa vema kwenye masuala ya msingi siyumbagi na kuangalia Kama ama Nina rafiki ataonaje msimamo wangu!

Polepole na uongo na siasa za ujanja janja

Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba ulieleza kwamba ziende kuongezwa speed y’a engine Kumbe ulilipwa 150,000 Kwa maudhui hayo kutudanganya ili apite!

Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya, unajua pesa wamepewa Kina Mashinji na Nassary na wapinzani kuhama!

We umekuwa na dharau kubwa Kwa Mama Samia tokea akiwa Makamu! Niliweka ushahidi ukaomba niufute Kwa kuwa ntagawa chama ila Umehujumu kila Njia y’a SAMIA akiwa Makamu!!! Kampeni na wasanii ulidiriki kutamka mbele ya Steven Nyerere kwamba msihangaike na Huyo bibi ambaye kauli zake zinaishia Koridoni wakati kwenye ofisi yupo Muhusika, hata Kipindi Magufuli amekufa kundi lenu lilikuwa nyuma ya Mpango wa kutoruhusu Mama awe Rais, SIRRO na Mabeyo wanajua (Dokezo) likatoka.

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!

Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni kuhadaa watanzania!

Polepole Huna kabisa Legitimacy ya kutudanganya

Mmeteka mmeua mmeshambulia,

Wangapi umekuwa unakula pesa yao Kwa ahadi ya Kuwahamisha vituo vya kazi kutoka Mara? Na kuwaahidi Vyeo!?

Tumkosoe Rais ila si kumkwamisha.

Tunatakiwa Kuelewa kwamba Nchi ni yetu sote
Atakaa kimya tu huyo mwenda pole,KWANI YUKO WAPI MCH GWAJIMA Saivi kimya Kama hayupo Ni suala la muda tu
 
Siku zote ulikuwa wapi kusema haya mpaka leo amewashika pabaya ndio unakuja kuropoka? kama uliyoandika ni ya kweli kwanini ukakaa kimya siku zote kama nawe sio sehemu ya wahalifu wa nchi hii? nakuona ume panic tu.

Bora mjibu hoja zake mengine muachane nayo, huku kulialia kwenu ndiko kunazidi kumfanya Polepole aonekane amewashika pabaya, na kama ukileta mambo yako ya mauaji na mengine hayo hayakuanza wakati wa Magufuli, yalikuwepo toka enzi za Jakaya watu waliuwawa Arusha (Soweto) kwa bomu ila mpo kimya, kina Ulimboka wakatekwa na kupigwa...
 
Kwa ujumla miongoni mwa wahuni wakubwa, wanafiki, waongo, ndumilakuwili, vigeuheu, watafuta fursa na wanaopenda siasa za hadaa, Polepole ni miongoni mwao.

Awadanganye wasiomjua na wasio na akili ya kufanya analysis. Hakuna mwenye akili anayeweza kumwamini Polepole. Polepole yupo tayari kutumika na mtu yeyote alimradi anampa ujira wake.

Walio nyuma yake mpaka sasa wanafahamika. Ujasiri wa pekee Polepole alio nao ni kuwa tayari kwa lolote alimradi litamfaidisha yeye binafsi. Leo hii Polepole akateuliwa kuwa Waziri, mtashangaa atakavyosimama kidedea na kusema hii ni Serikali ya awamu ya 6, japo sasa hivi anasema ni awamu ya 5. Alifanya hivyo wakati wa mikutano ya katiba mpya, alipopewa tu ukuu wa Wilaya, aliyakataa yote aliyokuwa akinena kabla.

Polepole ni wa kupuuzwa. Ni takataka katika Ulimwengu wa watu wakweli na wastaarabu.

Tunamlaumu Rais Samia kwa uchafu wa kuruhusu kesi ya kumbambikia Mbowe, lakini Polepole hana usafi wa kumkosoa kiongozi Rais Samia au mwingine yeyote.
 
Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya,
leta ushahidi, pesa hizi zilichukuliwa na nani, zilipelekwa na nini huko zimehifadhiwa wapi na kwa jina la nani...kama benk sema benk gani, akaunti namba, na nini mmiliki wa akaunti hiyo!!! Vinginevyo hii yaweza kuwa kupakana matope kwa ajili ya maslahi binafsi.
 
Ukoo wa mapanya umeanza kutoka shimoni..kumshambulia panya mwenzao anaye taka kuwakosesha ulaji wa awamu ya 5 iliyojifanya ya 6..jibuni hoja..ingawa wote ninyi ni wezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanajamvi mnanielewa vema kwenye masuala ya msingi siyumbagi na kuangalia Kama ama Nina rafiki ataonaje msimamo wangu!

Polepole na uongo na siasa za ujanja janja

Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba ulieleza kwamba ziende kuongezwa speed y’a engine Kumbe ulilipwa 150,000 Kwa maudhui hayo kutudanganya ili apite!

Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya, unajua pesa wamepewa Kina Mashinji na Nassary na wapinzani kuhama!

We umekuwa na dharau kubwa Kwa Mama Samia tokea akiwa Makamu! Niliweka ushahidi ukaomba niufute Kwa kuwa ntagawa chama ila Umehujumu kila Njia y’a SAMIA akiwa Makamu!!! Kampeni na wasanii ulidiriki kutamka mbele ya Steven Nyerere kwamba msihangaike na Huyo bibi ambaye kauli zake zinaishia Koridoni wakati kwenye ofisi yupo Muhusika, hata Kipindi Magufuli amekufa kundi lenu lilikuwa nyuma ya Mpango wa kutoruhusu Mama awe Rais, SIRRO na Mabeyo wanajua (Dokezo) likatoka.

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!

Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni kuhadaa watanzania!

Polepole Huna kabisa Legitimacy ya kutudanganya

Mmeteka mmeua mmeshambulia,

Wangapi umekuwa unakula pesa yao Kwa ahadi ya Kuwahamisha vituo vya kazi kutoka Mara? Na kuwaahidi Vyeo!?

Tumkosoe Rais ila si kumkwamisha.

Tunatakiwa Kuelewa kwamba Nchi ni yetu sote
Mzee umechamba tu hujajazia nyama, ungeyamwaga hayo hapa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Alifikiri mungu wao ataishia milele na wakaanza mchakato kutaka huyo mungu wao atawale milele lakini kwa bahati Mungu wa kweli kafanya yake.
Sasa kapagawa amekuwa akiropoka kama mchawi aliyelishwa usembe.
Kuna wadau humu wana msemo wao "Mungu fundi"
Kwa haya yanayoendelea sasa nadiriki kuamini hawa walitaka kuchezea katiba watawale milele.
Na hakukua na namna nyingibe ya kuzuia hilo jambo lisitokee ukizingatia watanzania tulio wengi ni wapole.
Ndipo hapo nukuu ya wadau "Mungu fundi"inapochukua nafasi yake.
 
Huyu jamaa nilimchukiaga kipindi kile cha uchaguzi alikua anamuita marehemu maalim Sharif et BABU MANDEVU
Aiseeee yaani kalikosa adabu kabisa, no wonder Nape kampachika jina jipya la KIROBOTO.
 
Wanajamvi mnanielewa vema kwenye masuala ya msingi siyumbagi na kuangalia Kama ama Nina rafiki ataonaje msimamo wangu!

Polepole na uongo na siasa za ujanja janja

Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba ulieleza kwamba ziende kuongezwa speed y’a engine Kumbe ulilipwa 150,000 Kwa maudhui hayo kutudanganya ili apite!

Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya, unajua pesa wamepewa Kina Mashinji na Nassary na wapinzani kuhama!

We umekuwa na dharau kubwa Kwa Mama Samia tokea akiwa Makamu! Niliweka ushahidi ukaomba niufute Kwa kuwa ntagawa chama ila Umehujumu kila Njia y’a SAMIA akiwa Makamu!!! Kampeni na wasanii ulidiriki kutamka mbele ya Steven Nyerere kwamba msihangaike na Huyo bibi ambaye kauli zake zinaishia Koridoni wakati kwenye ofisi yupo Muhusika, hata Kipindi Magufuli amekufa kundi lenu lilikuwa nyuma ya Mpango wa kutoruhusu Mama awe Rais, SIRRO na Mabeyo wanajua (Dokezo) likatoka.

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!

Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni kuhadaa watanzania!

Polepole Huna kabisa Legitimacy ya kutudanganya

Mmeteka mmeua mmeshambulia,

Wangapi umekuwa unakula pesa yao Kwa ahadi ya Kuwahamisha vituo vya kazi kutoka Mara? Na kuwaahidi Vyeo!?

Tumkosoe Rais ila si kumkwamisha.

Tunatakiwa Kuelewa kwamba Nchi ni yetu sote
[/QUOTE
Nachojua wahuni mpo sana Ccm nakumbuka mwanzoni ulikuwapo CCm mwishoni sijui ulitenguliwa au vipi ukaanza kugeuka ukimshambulia magufuli sasa leo upo kwa mama nadhani nyie ndo akina kigogo au baadhi ya wahuni mliokuwa mnataka kutafuna mema ya hii nchi peke yenu.

Kama unaona haki ulinyomkosoa magufuli basi sas pia muache polepole anayewastua watawala na baadhi ya watu nje ya utawala wasiwaze kuifanya tanzania ni yao peke yao.
 
Maneno mazito haya [emoji116]

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!
Watasema mengi tu, damu za watu wasio na hatia hazitawaacha salama.
Nchi yetu imekutwa na masahibu mazito kwa sababu ya wajinga Hawa.
 
Mkuu tafadhali pitia tena bandiko kisha ufanye “editing” ili tuwe msitari mmoja moja kwa moja.

Mfano kwenye “malipo yake Pole pole kwa maudhui ya kutudanganya kwenye ufisadi wa 710M TZS”, umesema yalikuwa ni 150,000/= labda ulitaka kuandika 150,000,000/=?

Trillion 1.5 iliyopelekwa “Seychellois” ulitaka kusema Seychelles?
Dictionary








Seychellois
/seɪʃɛlˈwɑː/

adjective

  1. relating to or characteristic of the Seychelles or its people.
    "our Seychellois fishing guide"
noun

  1. a native or inhabitant of the Seychelles.
    "there is a great degree of racial diversity among the Seychellois"

1639314340831.gif
 
Wewe hujawahi ipenda CCM kwenye jamvi hili tunawajua wachumia tumbo na Wahuni
Sidhani wewe jamaa km kichwani uko sawa.

Uko upande gani mtetezi wa Polepole au maslahi ya umma.

Kwasababu hapa tunajadili hoja si mtu au nani bila kujali imetoka kwa nani, ili mwisho wa siku kila mtu atendewe haki.

Tunajua WATU WASIOJULIKANA Polepole anawajua vizuri kina Sabaya, Bashite,Msiba nk

Karibu!
 
Back
Top Bottom