Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

Mkuu tafadhali pitia tena bandiko kisha ufanye “editing” ili tuwe msitari mmoja moja kwa moja.

Mfano kwenye “malipo yake Pole pole kwa maudhui ya kutudanganya kwenye ufisadi wa 710M TZS”, umesema yalikuwa ni 150,000/= labda ulitaka kuandika 150,000,000/=?

Trillion 1.5 iliyopelekwa “Seychellois” ulitaka kusema Seychelles?
Nashauri umuelewe hivyohivyo maana ana uchungu Sana na huyo mnafiki aliyepataga division zero
 
Sura ya polepole tu imekaa kichawichawi na kilozi so sishangai kakiwa kauaji na kanafiki
 
Hivi kuna mwanaccm asiye mnafiki, tangia uhuru nchi hii imeongozwa na ccm lakini wasikie wanavyoshutumu serikali zilizopita pale inapokuja serikali mpya
 
Nilimshangaa sana Rais Samia Suluhu Hassan kumpa Polepole Ubunge wa kuteuliwa.

Kusema na ule ukweli Polepole hakutakiwa kukaa Bungeni alitakiwa awe Jela akitumikia miaka 30 kama wale Wahuni wenzie.

Takukuru inatakiwa imchunguze huyu kigagula.
 
Dictionary








Seychellois
/seɪʃɛlˈwɑː/

adjective

  1. relating to or characteristic of the Seychelles or its people.
    "our Seychellois fishing guide"
noun

  1. a native or inhabitant of the Seychelles.
    "there is a great degree of racial diversity among the Seychellois"

View attachment 2041489
Soma sentence! Haikuwa kwenye muktadha huo.

Kwani ametumia codes hadi u assume hivyo?
 
Maneno mazito haya [emoji116]

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!
Sikujua kama naye amehusika kwenye mauaji , Asante JF
 
Inabidi tuite FBI forensic team ili kufanya uchunguzi wa kina kuhusu hili
Unadhani_huyu_MHUNI_anafanya_Nini_hapa%3F%0A%0AA._Anahalalisha_UHUNI%0AB._Anahalalisha_wizi_wa...jpg
 
Okay, tunafurahi kukufahamu wengine wetu ndo kwanza tunakusoma leo kwa mara ya kwanza, kwa hiyo wewe ndo kipimo cha JF na kwamba sasa mjadala ufungwe kwa kuwa umeshaongea ?
Sawa
 
Wanajamvi mnanielewa vema kwenye masuala ya msingi siyumbagi na kuangalia Kama ama Nina rafiki ataonaje msimamo wangu!

Polepole na uongo na siasa za ujanja janja

Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba ulieleza kwamba ziende kuongezwa speed y’a engine Kumbe ulilipwa 150,000 Kwa maudhui hayo kutudanganya ili apite!

Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya, unajua pesa wamepewa Kina Mashinji na Nassary na wapinzani kuhama!

We umekuwa na dharau kubwa Kwa Mama Samia tokea akiwa Makamu! Niliweka ushahidi ukaomba niufute Kwa kuwa ntagawa chama ila Umehujumu kila Njia y’a SAMIA akiwa Makamu!!! Kampeni na wasanii ulidiriki kutamka mbele ya Steven Nyerere kwamba msihangaike na Huyo bibi ambaye kauli zake zinaishia Koridoni wakati kwenye ofisi yupo Muhusika, hata Kipindi Magufuli amekufa kundi lenu lilikuwa nyuma ya Mpango wa kutoruhusu Mama awe Rais, SIRRO na Mabeyo wanajua (Dokezo) likatoka.

Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!

Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni kuhadaa watanzania!

Polepole Huna kabisa Legitimacy ya kutudanganya

Mmeteka mmeua mmeshambulia,

Wangapi umekuwa unakula pesa yao Kwa ahadi ya Kuwahamisha vituo vya kazi kutoka Mara? Na kuwaahidi Vyeo!?

Tumkosoe Rais ila si kumkwamisha.

Tunatakiwa Kuelewa kwamba Nchi ni yetu sote
We britanicca ulikuwa mfuasi wa Magufuli mpaka pale ulipopoteza matumaini kuwa huwezi kupata uteuzi ndio ukaanza kuwa mkosoaji wake.
 
T
Nilimshangaa sana Rais Samia Suluhu Hassan kumpa Polepole Ubunge wa kuteuliwa.

Kusema na ule ukweli Polepole hakutakiwa kukaa Bungeni alitakiwa awe Jela akitumikia miaka 30 kama wale Wahuni wenzie.

Takukuru inatakiwa imchunguze huyu kigagula.
Tukisema nyie ni mazezeta mnalaumu eti mnatukanwa,
Sasa hujui hata ni nani alimpa ubunge polepole wakati utakuata upo hapahapa tanzania.
Nadhani kuna wengi mnaotumia akilia za tako kulikoa za kichwa.
Yaani hujui aliyempa ubunge polepole?
 
Back
Top Bottom