Siamini katika Siasa za unafiki, Polepole unakosea sana we pamoja na kikundi nyuma yako! Tunajua yote haya

Inabidi tuite FBI forensic team ili kufanya uchunguzi wa kina kuhusu hili
 
Atakaa kimya tu huyo mwenda pole,KWANI YUKO WAPI MCH GWAJIMA Saivi kimya Kama hayupo Ni suala la muda tu
 
Siku zote ulikuwa wapi kusema haya mpaka leo amewashika pabaya ndio unakuja kuropoka? kama uliyoandika ni ya kweli kwanini ukakaa kimya siku zote kama nawe sio sehemu ya wahalifu wa nchi hii? nakuona ume panic tu.

Bora mjibu hoja zake mengine muachane nayo, huku kulialia kwenu ndiko kunazidi kumfanya Polepole aonekane amewashika pabaya, na kama ukileta mambo yako ya mauaji na mengine hayo hayakuanza wakati wa Magufuli, yalikuwepo toka enzi za Jakaya watu waliuwawa Arusha (Soweto) kwa bomu ila mpo kimya, kina Ulimboka wakatekwa na kupigwa...
 
Kwa ujumla miongoni mwa wahuni wakubwa, wanafiki, waongo, ndumilakuwili, vigeuheu, watafuta fursa na wanaopenda siasa za hadaa, Polepole ni miongoni mwao.

Awadanganye wasiomjua na wasio na akili ya kufanya analysis. Hakuna mwenye akili anayeweza kumwamini Polepole. Polepole yupo tayari kutumika na mtu yeyote alimradi anampa ujira wake.

Walio nyuma yake mpaka sasa wanafahamika. Ujasiri wa pekee Polepole alio nao ni kuwa tayari kwa lolote alimradi litamfaidisha yeye binafsi. Leo hii Polepole akateuliwa kuwa Waziri, mtashangaa atakavyosimama kidedea na kusema hii ni Serikali ya awamu ya 6, japo sasa hivi anasema ni awamu ya 5. Alifanya hivyo wakati wa mikutano ya katiba mpya, alipopewa tu ukuu wa Wilaya, aliyakataa yote aliyokuwa akinena kabla.

Polepole ni wa kupuuzwa. Ni takataka katika Ulimwengu wa watu wakweli na wastaarabu.

Tunamlaumu Rais Samia kwa uchafu wa kuruhusu kesi ya kumbambikia Mbowe, lakini Polepole hana usafi wa kumkosoa kiongozi Rais Samia au mwingine yeyote.
 
Tumeibiwa Tril 1.5 wakati asilimia 30 yake unajua imepelekwa Seychellois ukaja na kalamu kutudanganya,
leta ushahidi, pesa hizi zilichukuliwa na nani, zilipelekwa na nini huko zimehifadhiwa wapi na kwa jina la nani...kama benk sema benk gani, akaunti namba, na nini mmiliki wa akaunti hiyo!!! Vinginevyo hii yaweza kuwa kupakana matope kwa ajili ya maslahi binafsi.
 
Ukoo wa mapanya umeanza kutoka shimoni..kumshambulia panya mwenzao anaye taka kuwakosesha ulaji wa awamu ya 5 iliyojifanya ya 6..jibuni hoja..ingawa wote ninyi ni wezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mzee umechamba tu hujajazia nyama, ungeyamwaga hayo hapa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Alifikiri mungu wao ataishia milele na wakaanza mchakato kutaka huyo mungu wao atawale milele lakini kwa bahati Mungu wa kweli kafanya yake.
Sasa kapagawa amekuwa akiropoka kama mchawi aliyelishwa usembe.
Kuna wadau humu wana msemo wao "Mungu fundi"
Kwa haya yanayoendelea sasa nadiriki kuamini hawa walitaka kuchezea katiba watawale milele.
Na hakukua na namna nyingibe ya kuzuia hilo jambo lisitokee ukizingatia watanzania tulio wengi ni wapole.
Ndipo hapo nukuu ya wadau "Mungu fundi"inapochukua nafasi yake.
 
Huyu jamaa nilimchukiaga kipindi kile cha uchaguzi alikua anamuita marehemu maalim Sharif et BABU MANDEVU
Aiseeee yaani kalikosa adabu kabisa, no wonder Nape kampachika jina jipya la KIROBOTO.
 
 
Watasema mengi tu, damu za watu wasio na hatia hazitawaacha salama.
Nchi yetu imekutwa na masahibu mazito kwa sababu ya wajinga Hawa.
 
Dictionary








Seychellois
/seɪʃɛlˈwɑː/

adjective

  1. relating to or characteristic of the Seychelles or its people.
    "our Seychellois fishing guide"
noun

  1. a native or inhabitant of the Seychelles.
    "there is a great degree of racial diversity among the Seychellois"

 
Wewe hujawahi ipenda CCM kwenye jamvi hili tunawajua wachumia tumbo na Wahuni
Sidhani wewe jamaa km kichwani uko sawa.

Uko upande gani mtetezi wa Polepole au maslahi ya umma.

Kwasababu hapa tunajadili hoja si mtu au nani bila kujali imetoka kwa nani, ili mwisho wa siku kila mtu atendewe haki.

Tunajua WATU WASIOJULIKANA Polepole anawajua vizuri kina Sabaya, Bashite,Msiba nk

Karibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…