Siasa inalipa!! Angalia unaodaiwa kuwa utajiri wa Baraza la Mawaziri Kenya!

Siasa inalipa!! Angalia unaodaiwa kuwa utajiri wa Baraza la Mawaziri Kenya!

Una uhakika gani kuwa wametajirikia kwenye siasa na walikuwa makapuku kabla ya kuingia kwenye siasa?
Tuletee taarifa za mali zao kabla ya kuingia kwenye siasa tujiridhishe.
Hujui kuna wanasiasa walioanzia vyuoni Leo hii wanamiliki magari na majumba?
 
Hata Tanzania wapo wenye nazo, swali ni je huoni Kama kuna haja ya kudeclare Mali zao?
Hili linatakiwa liwe ni jambo la lazima kwa yeyote anayetaka kushika uongozi ngazi yoyote. Iwe ni lazima na rekodi ziwe public. BTW wewe umesema ubunge wa Kenya unalipa mimi nikakakwambie wengi wanaingia wakiwa tayari ni matajiri. NB: Ila hata malipo ya ubunge wao ni makubwa
 
una mashaka na ukwasi wa kiongozi fulani, just report kwenye tume husika ataitwa kuthibisha mashaka yako vizuri tu. hadharini haina maana yoyote 🐒
Hapana Kama waajiri wake tunapaswa kujua! Tanzania taarifa nyingi ziko Classified! Hata Mshahara wa viongozi wakuu ni Siri!

Lazima tujue wanamiliki nini! Na iwe wazi! Ukiona wanaficha jua haujapatikana kihalali na muhimu zaidi WALIPE KODI
 
Hili linatakiwa liwe ni jambo la lazima kwa yeyote anayetaka kushika uongozi ngazi yoyote. Iwe ni lazima na rekodi ziwe public. BTW wewe umesema ubunge wa Kenya unalipa mimi nikakakwambie wengi wanaingia wakiwa tayari ni matajiri. NB: Ila hata malipo ya ubunge wao ni makubwa
Nakuunga mkono, lazima iwepo Transparency,
 
Hapana Kama waajiri wake tunapaswa kujua! Tanzania taarifa nyingi ziko Classified! Hata Mshahara wa viongozi wakuu ni Siri!

Lazima tujue wanamiliki nini! Na iwe wazi! Ukiona wanaficha jua haujapatikana kihalali na muhimu zaidi WALIPE KODI
hakuna anaeficha taarifa za mali za watumishi ukitaka kujua fuata utaratibu, ukiona vinginevyo bas relax tu, taarifa zote za watumishi ziko kwa muajiri na Taasisi husika...

Lakini pia na mshahara wako ni siri yako na muajiri wako na mishahara haijawahi kufanana ...🐒
 
Possible. Wekeza utt liquid fund.
Nipe case study! Kwamba Fulani alianzia umachinga akawekeza UTT Leo ni bilionea,
La sivyo naombeni kadi ya Chama 😀@johnthebaptist wapi napata Jimbo 2025?
 
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe uhondo!

Hivi majuzi Rais wa Kenya William Ruto aliteua majina ya mawaziri wateule, hii ni baada ya kuvunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya GEN Z mwezi uliopita.

Katika utaratibu wa kawaida, wateule hufanyiwa usaili, ambapo pamoja na mambo mengine walihojiwa juu ya utajiri wao!

Angalia hapa
1.Dr Andrew muhuia Ksh 214 Milioni, hii ni zaidi ya bilioni 4.28 za kitanzania
2.Aden Duale Ksh 980 Milioni zaidi ya shilingi Bilioni 19.6 za Kitanzania
3.John Mbadi Ksh 380 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 7.6 Bilioni
5.Davis Chirchir Ksh 509 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 10.14 Bilioni
6.Joho Ksh 2.5 billion, hii ni zaidi ya Bilioni 50 za kitanzania

Ukiangalia baraza hilo la mawaziri mwenye pesa kidogo kuliko wote anaitwa Eric Muga utajiri wa Ksh 31 Million zaidi ya Shilingi za kitanzania Milioni 620.

Hii inakupa picha gani? Je tuanzishe utaratibu huu hapa Tanzania kuhojii mali za viongozi ?

MWANAO MTAFUTIE KADI YA VYAMA VYA SIASA 😀😀KUNA PESA NDEFU!
Mkuu nikusaidie kidogo ,kenya hakuna anaeenda kwenye siasa akiwa maskini,makamu wa rais kenya yule ni tajiri kama bakhresa ile nchi ya kibepali kuwa tajiri ni kigezo pia kukupa kura
 
Back
Top Bottom