Siasa mbovu za Tanzania zimewaacha vijana wasomi wamepauka

Siasa mbovu za Tanzania zimewaacha vijana wasomi wamepauka

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima.

Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao.

Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leaders wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi.

Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi.

Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao.

Roho inaniuma basi tu
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima. Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao. Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leader wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi. Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi. Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao. Roho inaniuma basi tu
Tujipe pole mkuu. Kuhakikisha kundi kubwa linajaa lindi la UFUKARA na UJINGA ndio silaha yao kuu. Hili wapo nalo makini sana ili waendelee kutawala badala ya kuongoza.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima. Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao. Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leader wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi. Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi. Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao. Roho inaniuma basi tu
Ni kweli Nkerebhuke
 
Tujipe pole mkuu. Kuhakikisha kundi kubwa linajaa lindi la UFUKARA na UJINGA ndio silaha yao kuu. Hili wapo nalo makini sana ili waendelee kutawala badala ya kuongoza.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Wako serious na hakuna kitu watabadilisha. Wameshindwa kwa miaka 60 sio kwa bahati mbaya. Ni mkakato huu.

Tazama hata Rais Samia anavyopata kigugumizi kuruhusu Katiba Mpya itakayotoa mianya na fursa ya kudhibiti wezi na kulinda mali za umma.
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima. Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao. Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leader wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi. Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi. Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao. Roho inaniuma basi tu
Nchi ya ovyo Sana hii basi tu , sometimes unakaa unawaza Bora ungezaliwa jibwa ulaya huko
 
Nchi ya ovyo Sana hii basi tu , sometimes unakaa unawaza Bora ungezaliwa jibwa ulaya huko
Umeenda mbali sana brother 😁😁😁 kuna tabia zinaibuka kwenye jamii yetu hii ya Tanzania inatia mashaka. Tabia ya uchawa inatia kinyaa na kichefuchefu, yaani ni mwendo wa kusifiana na kupongezana bila hata logic. Machawa wameibuka kwenye sector zote
 
Wako serious na hakuna kitu watabadilisha. Wameshindwa kwa miaka 60 sio kwa bahati mbaya. Ni mkakato huu.

Tazama hata Rais Samia anavyopata kigugumizi kuruhusu Katiba Mpya itakayotoa mianya na fursa ya kudhibiti wezi na kulinda mali za umma.
Hata wakipewa miaka milioni moja still hawawezi leta mabadiliko.Kwao siasa na uongozi ni ajira binafsi kwa ajili ya kutatua shida zao binafsi na sio za jamii.
 
Umeenda mbali sana brother 😁😁😁 kuna tabia zinaibuka kwenye jamii yetu hii ya Tanzania inatia mashaka. Tabia ya uchawa inatia kinyaa na kichefuchefu, yaani ni mwendo wa kusifiana na kupongezana bila hata logic. Machawa wameibuka kwenye sector zote
Mkuu siku hizi Masters na PhD hazina maana yoote. Mtu anaamini Uchawa ndio utamtoa tu.
 
Ujinga, umasikini na njaa huu ni mkakati maalumu wa kuwatawala watu, Ili kundi la walamba asali waendelee kumiliki, maana huwezi mtawala mwenye shibe.
Hata kupigania UHURU Ili kuwa ni hadaa tu na janja janja ya walamba asali wawaondoe nyuki wabaki na asali.
 
Umeenda mbali sana brother 😁😁😁 kuna tabia zinaibuka kwenye jamii yetu hii ya Tanzania inatia mashaka. Tabia ya uchawa inatia kinyaa na kichefuchefu, yaani ni mwendo wa kusifiana na kupongezana bila hata logic. Machawa wameibuka kwenye sector zote
CHAWAISM SYNDROME ni ugonjwa mbaya sana unaomea miongoni mwa vijana kwa wazee ambao wako kwenye mkondo wa serikali au chama! Huu ugonjwa bila kutafutiwa dawa hii nchi haitakaa itoke hapa ilipo
 
Ujinga, umasikini na njaa huu ni mkakati maalumu wa kuwatawala watu, Ili kundi la walamba asali waendelee kumiliki, maana huwezi mtawala mwenye shibe.
Hata kupigania UHURU Ili kuwa ni hadaa tu na janja janja ya walamba asali wawaondoe nyuki wabaki na asali.
Sahizi ni dhahiri kuwa walamba asali wapo na wanaona hamna la kuwafanya licha ya kujinadi kwa sababu wana polisi na jeshi mikononi mwao. Bila kujiwasha tutaendelea kuwa doomed. Majina ni yale yale KINANA, MAKAMBA, KIKWETE, MEMBE, HASSAN
 
CHAWAISM SYNDROME ni ugonjwa mbaya sana unaomea miongoni mwa vijana kwa wazee ambao wako kwenye mkondo wa serikali au chama! Huu ugonjwa bila kutafutiwa dawa hii nchi haitakaa itoke hapa ilipo
Hili gonjwa nilijua huyu mkuu wa sasa atilikataa, sijui amesoma vipi upepo ameamua kwenda nalo. Hakuna mazingira ya kufanya argumentation, vijana tumekuwa waoga tunawaza kufanya licking foots vya wakubwa tulambe asali
 
Sahizi ni dhahiri kuwa walamba asali wapo na wanaona hamna la kuwafanya licha ya kujinadi kwa sababu wana polisi na jeshi mikononi mwao. Bila kujiwasha tutaendelea kuwa doomed. Majina ni yale yale KINANA, MAKAMBA, KIKWETE, MEMBE, HASSAN
Hao ndo walambaji wenyewe.
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima. Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao. Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leader wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi. Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi. Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao. Roho inaniuma basi tu
And there's nothing to be done about it.
 
Hili gonjwa nilijua huyu mkuu wa sasa atilikataa, sijui amesoma vipi upepo ameamua kwenda nalo. Hakuna mazingira ya kufanya argumentation, vijana tumekuwa waoga tunawaza kufanya licking foots vya wakubwa tulambe asali
Hamna kabisa yani zile akili za kujitegemea ndio shida sema nilichogundua yote haya ya watu kuwa makondoo ni sababu ya umaskini tu wa akili. Brain is the powerful part of the body. Ikitumika ipasavyo tutatoka hapa tulipo, tunadanganywa nchi ina amani ila kumbe tafsiri ya amani ni uoga tulionao.

Tunaogopa kutoka nje ya box, tunaogopa kufanya mambo makubwa sababu tumejengewa hofu ambayo kuishi na hio hofu wenzetu ndio wanaitafsiri kuwa ndio amani na upendo.
 
Back
Top Bottom