Siasa mbovu za Tanzania zimewaacha vijana wasomi wamepauka

Siasa mbovu za Tanzania zimewaacha vijana wasomi wamepauka

Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima.

Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao.

Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leaders wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi.

Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi.

Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao.

Roho inaniuma basi tu
Umenena ukweli kabisa..kwasasa nchi hii vijana wengi hasa graduates wameona njia ya kutafuta chance ya maisha ni kukimbilia siasa.

Wengi choka mbaya hawana future zaidi ya kuwa chawa na walamba miguu ya viongozi..ili anagalau wafikiriwe kwenye teuzi au vipesa vidogo vidogo wakitumika kueneza propaganda mbovu kwa jamii.

Kimsingi njaa ikihamia kichwani ni tatizo kubwa sana..hii nchi imepoteza maono chama cha kijani sasa sio chama cha wanachi bali limekuwa genge la walaghai.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima.

Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao.

Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leaders wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi.

Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi.

Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao.

Roho inaniuma basi tu
CCM NI MAVIII
 
Hata wakipewa miaka milioni moja still hawawezi leta mabadiliko.Kwao siasa na uongozi ni ajira binafsi kwa ajili ya kutatua shida zao binafsi na sio za jamii.
Umeongea ukweli mtupu.

Kwao siasa ni ajira binafsi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Balaa mi msimamo wangu ule ule nchi inahitaji dikteta hata kama anaiba anaiba yeye kuliko kuwa na kundi la wezi hata mpinge lazima nchi hii ipelekwe kwa command mmoja tu kundi linashambulia vibaya mno
Nikweli tunahitaji dikteta mzalendo kama JPM..sio dikteka kama akina Mobutu Seseseko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima.

Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao.

Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.

Political leaders wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi.

Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi.

Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao.

Roho inaniuma basi tu
Wenye kustahili kupata kazi wapewe isiwe tu kazi zitoke kwa kujuana,bali vigezo ktk sekta husika.
 
Wapigania UHURU walihadaa waafrika wakawafukuza wakoloni kisha wao wakawa wakoloni weusi, wakijilimisha utajiri wa nchi wao na vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye ufukara 9, mashamba, na miradi yote waliyoacha wakoloni imekufa. Huku familia za wapigania UHURU wakiwa mamilionea wakiishi kifahari.Bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi,kwani maisha yalikuwa bora ajira tele mashambani, viwanda, elimu, afya miundombinu zilikuwa bora kabisa, huku wakulima wakiwa na uhakika kabisa pa kuuzia mazo yao bila shida kabisa.
Wapigania UHURU walihadaa waafrika wakawafukuza wakoloni kisha wao wakawa wakoloni weusi, wakijilimisha utajiri wa nchi wao na vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye ufukara zaidi ya wakati wa mkoloni. Viwanda, mashamba, na miradi yote waliyoacha wakoloni imekufa. Huku familia za wapigania UHURU wakiwa mamilionea wakiishi kifahari.Bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi,kwani maisha yalikuwa bora ajira tele mashambani, viwanda, elimu, afya miundombinu zilikuwa bora kabisa, huku wakulima wakiwa na uhakika kabisa pa kuuzia mazo yao bila shida kabisa.
Niseme tu ni tamaa ya wapigania UHURU wachache kwa maslai yao na familia ndio waliowadanganya waafrika wawafukuze wakoloni Ili wao wanufaike na familia zao, check familia zao zinavyoogelea kwenye utajiri huku waafrika wengi wakiwa fukara dhoofu hali. Mwafrika alikuwa na maisha mazuri Sana kabla ya UHURU, check mfano nchini kama zimbabwe, south africa, botswana, Namibia, nk ajira ngapi zimekufa baada ya UHURU. Waafrika ilitakiwa tuombe usawa na sio kujiendesha tumeproofu failer mwafrika hana uwezo wa kuongoza Jamii ikastawi amejaa ubinafsi na hila ya kutazama leo yeye binafsi.Mfano hata sasa angalia familia za kina Kenyatta, Moi, Odinga, Mugabe, Mobutu,Do santos,Nguema,Paul Biya,Museven nk zilivyotajirika kwa wizi uliofanywa na wazazi wao kwa kujilimbikizia mali huku wananchi wakiwa masikini kabisa.
Familia zao ndizo zinazolamba asali.
ama hakika mku umenena jambo zito ambalo waafrica wengi hawatambui ,ukiangalia mfumo mzima wa serikali unasadiki yote uliyosema hapa, familia ni zile zile tu ,huku utaskia mwinyi,kikwete,nyerere kule utaskia kibaki,kinyata ,moi.amaa kweli familia chache ndizo zinamiliki hizi nchi zetu za kiafrica na wanafanya chochote wanachojiskia kufanya.
 
ama hakika mku umenena jambo zito ambalo waafrica wengi hawatambui ,ukiangalia mfumo mzima wa serikali unasadiki yote uliyosema hapa, familia ni zile zile tu ,huku utaskia mwinyi,kikwete,nyerere kule utaskia kibaki,kinyata ,moi.amaa kweli familia chache ndizo zinamiliki hizi nchi zetu za kiafrica na wanafanya chochote wanachojiskia kufanya.

Bora ya wakoloni weupe kuliko weusi
 
Sio kupayuka tu wasomi vijana wananuka DHIKI nchi hii, ni heri ya wakoloni wazungu kuliko mkoloni CCM na MaCCM ,ni LAANAKUM.
Hali inatisha mno kitaa ,asikwambie mtu . Ni bomu linalosubiri kulipuka soon tutakuwa kama Nigeria na Ghana huko , hardened criminals with brains toughened by unemployment + poverty , it's a deadly recipe , we ngoja Tu .
 
Back
Top Bottom