Kwa hiyo hata usomi wao hauwasaidii kujitafitia ajira wanazidiwa na wale ambao hawakusoma na wanapambana na maisha bila elimu na wana ng'aa?Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima. Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao. Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.
Political leader wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi. Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi. Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao. Roho inaniuma basi tu
Hii hofu tulionayo ametuweza kwelikweli sio mchezo. Kinachoshangaza mpaka kwenye taasisi za elimu ya juu vijana hawana uwezo waku argue waoga kunguru hafai. Hali hii ilichangia sana wahadhiri kufanya biashara ya notes kwa kitisho kuwa asienunua atafeli mtahani. Dah! Nikikumbuka roho inaniuma sana.Hamna kabisa yani zile akili za kujitegemea ndio shida sema nilichogundua yote haya ya watu kuwa makondoo ni sababu ya umaskini tu wa akili. Brain is the powerful part of the body. Ikitumika ipasavyo tutatoka hapa tulipo, tunadanganywa nchi ina amani ila kumbe tafsiri ya amani ni uoga tulionao.
Tunaogopa kutoka nje ya box, tunaogopa kufanya mambo makubwa sababu tumejengewa hofu ambayo kuishi na hio hofu wenzetu ndio wanaitafsiri kuwa ndio amani na upendo.
Kaka kila mtu ana ndoto zake hivyo elimu ni daraja la kupitia ili kuzifikia ndio maana tunapeleka watoto shule. Pale SUA kuna vijana wanasoma kilimo vizuri sana ila sector ya kilimo bado hauvutii hata kidogo. Kuna mchangiaji mmoja kaeleza vizuri vikwazo ni vingi Sana, watoto wa wakulima watapata wapi mitaji. Sector binafsi ndio wameizika kabisaa iko taabani.Kwa hiyo hata usomi wao hauwasaidii kujitafitia ajira wanazidiwa na wale ambao hawakusoma na wanapambana na maisha bila elimu na wana ng'aa?
Hawana elimu na hawasubili ajira za serikali.
Lakini wenye elimu wanapauka kwa kukosa maalifa ya kujitafutia ingawa wame elimishwa.
Ukisoma huu Uzi utajua Tanzania bado tuna safari ndefuNchi ya ovyo Sana hii basi tu , sometimes unakaa unawaza Bora ungezaliwa jibwa ulaya huko
Hio ndo point yangu sisi ni waoga sana wa mbadiliko Kuna kundi kubwa la watanzania bado wanaanin ccm bado anastahili kuiongoza japokua hakuna Cha maana alichokifanya kwa miaka 60Hamna kabisa yani zile akili za kujitegemea ndio shida sema nilichogundua yote haya ya watu kuwa makondoo ni sababu ya umaskini tu wa akili. Brain is the powerful part of the body. Ikitumika ipasavyo tutatoka hapa tulipo, tunadanganywa nchi ina amani ila kumbe tafsiri ya amani ni uoga tulionao.
Tunaogopa kutoka nje ya box, tunaogopa kufanya mambo makubwa sababu tumejengewa hofu ambayo kuishi na hio hofu wenzetu ndio wanaitafsiri kuwa ndio amani na upendo.
Mfumo wa elimu mbovu, ni zao la mfumo mbovuHao mnaowaita wasomi waliokosa ajira ni mambulula tu
Kama wana elimu hawajaelimika na haijawasaidia kitu
WATAPAUKA SANA CCM HAIJILI CHOCHOTEUkichunguza kwa makini utagundua kuwa Tanzania tuna siasa mbovu ambazo kimsingi zimechangia kuua ndoto za vijana wengi wenye fani na taaluma mbalimbali ambazo wamezihangaikia tangu wakiwa wadogo mpaka wanakuwa watu wazima.
Siasa kwetu sio taaluma bali ni ajira ambayo walafi wa madaraka ( power hungry people ) wanaipigania kwe njia zote mbaya na nzuri. Kwa mazingira haya tunapata viongozi ambao hawana sifa wala uzalendo kwa taifa lao.
Vijana wasomi wamegeuka kichekesho ( laughing stock ) kwani wengi wamejikuta unemployed sio kwa sababu hawana uwezo ila maitaji nimadogo kuliko idadi yao.
Political leaders wetu wengi ni materialistic kwani hawajali lolote kuhusu kutengeza sera bora ya elimu na uchumi ili kuwasaidia vijana waweze kujijengea uwezo wa kujiajiri na kupata mtaji kwa urahisi.
Watanzania tunajuana maisha yetu vijana hasa watoto wa wakulima ni ngumu sana kwao kujiajiri bila kuwa na mazingira wezeshi.
Hili ni timed bomb personally naliona kwenye taifa langu, maana decision makers wetu wengi ni greenhorn na wanachoweza kikubwa ni lick miguu ya mkubwa badala ya kusimamia taaluma zao.
Roho inaniuma basi tu
Dikteta amefariki mwaka Jana na bado hakuna kitu kikubwa kilichobadilikaBalaa mi msimamo wangu ule ule nchi inahitaji dikteta hata kama anaiba anaiba yeye kuliko kuwa na kundi la wezi hata mpinge lazima nchi hii ipelekwe kwa command mmoja tu kundi linashambulia vibaya mno
hahh usifike huko mkuu kikubwa tunaishiNchi ya ovyo Sana hii basi tu , sometimes unakaa unawaza Bora ungezaliwa jibwa ulaya huko
wanamsemo wao wanasema mama anaupiga mwingiUmeenda mbali sana brother [emoji16][emoji16][emoji16] kuna tabia zinaibuka kwenye jamii yetu hii ya Tanzania inatia mashaka. Tabia ya uchawa inatia kinyaa na kichefuchefu, yaani ni mwendo wa kusifiana na kupongezana bila hata logic. Machawa wameibuka kwenye sector zote
Hawa jamaa wa hicho chama wanatudharau sana wakishalambishwa asali wanajiona wao ni special sana. Wanatamaa ya fisi wakishavimbewa utasikia wanaropoka " wasomi acheni kulalamika ajira'' kama yule jamaa meno kuoza katambi ananiuzi sana
kama unalogic kubwa hivii,huu uhuru tuliombiwa tumepata ni janjajanja ya wapigaji tuUjinga, umasikini na njaa huu ni mkakati maalumu wa kuwatawala watu, Ili kundi la walamba asali waendelee kumiliki, maana huwezi mtawala mwenye shibe.
Hata kupigania UHURU Ili kuwa ni hadaa tu na janja janja ya walamba asali wawaondoe nyuki wabaki na asali.
Hili linashangaza sana.Mkuu siku hizi Masters na PhD hazina maana yoote. Mtu anaamini Uchawa ndio utamtoa tu.
Kwa akili ndogo utaona hamna kikubwa ila ukifikiri kwa mapana utaona kuna mahali tumeyumba tena kama taifa.Dikteta amefariki mwaka Jana na bado hakuna kitu kikubwa kilichobadilika
Wapigania UHURU walihadaa waafrika wakawafukuza wakoloni kisha wao wakawa wakoloni weusi, wakijilimisha utajiri wa nchi wao na vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye ufukara 9, mashamba, na miradi yote waliyoacha wakoloni imekufa. Huku familia za wapigania UHURU wakiwa mamilionea wakiishi kifahari.Bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi,kwani maisha yalikuwa bora ajira tele mashambani, viwanda, elimu, afya miundombinu zilikuwa bora kabisa, huku wakulima wakiwa na uhakika kabisa pa kuuzia mazo yao bila shida kabisa.kama unalogic kubwa hivii,huu uhuru tuliombiwa tumepata ni janjajanja ya wapigaji tu