Kwa kweli Jiji la Dar es Salaam ni jiji kubwa na maarufu sana Duniani, lina hadhi ya kipekee, siasa za kipekee, burudani na sarakasi za kipekee hasa kutoka kwa wakazi na Viongozi wa jiji hilo pamoja na Burudani zilizopo.
Kuna Muda una hitajika Ubabe,
Kuna muda zinahitajika ucheshi .
Kuna muda una hitajika umakini na nk.
Kwa kifupi mbali na mapungufu yao Yote tutawamiss sana Kina Makonda, Yusuph Makamba na Kandoro.
JIJI sasa hivi halimake HEADLINES kabisa limepoa.
Kuna Muda una hitajika Ubabe,
Kuna muda zinahitajika ucheshi .
Kuna muda una hitajika umakini na nk.
Kwa kifupi mbali na mapungufu yao Yote tutawamiss sana Kina Makonda, Yusuph Makamba na Kandoro.
JIJI sasa hivi halimake HEADLINES kabisa limepoa.