Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu polepole aliyekuwa anashiliiana na mwendazake kupoteza na kuua wanaonekana Wana mawzo tofauti. Cc tundu lisu alichapwa risasi 32 kwa nataka za polepole
hawa wote ni viroboto wa kutupwa. wana character moja. hulia wanapokosa uteuzi. nape anashangilia maana mroithi wake naye katupwa .Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Ujinga wangu uko wapi! Kusema lisu mlimchapa lisasi 32 ndo ujinga. Kwani hamkumchapa lisasi 32 akapotenea ubelgiji. Au we ndo mjingo huelewi kilichokuwa kinaendeleaWe ndo Jinga kabisa.
Wote hao ni wachumia tumbo. Tofauti yao ni kwamba Nape ni mwepesi kukubali matokeo ya mnyukano ndani ya chama!! Akinyukwa ni mwepesi kuitia "hewala" ili yaishe!! Pole pole ni mpambanaji mzuri!! anajiamini!! japo wote hao ni wachumia tumbo!!Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Polepole ni Kichwa ZAIDI NA ANAJENGA HOJATuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Nakubali Polepole ni kichwa japo si mzalendo wa kweli kama anavyodai!! Anaangalia maslahi!! Maslahi yake yakipokonywa anajisogeza kwa wananchi na kuanza usanii wa maneno wakati hakuna chochote!! Shule ya uongozi ni vijembe kwa waliomtema!! Anakumbuka alivyotemeshwa V8!!! Mpe V8?" leo kwa gharama za umma utakuwa ndio mwisho wa shule ya uongozi!!! Alivyosogezwa kwenye system hapo awali ilikuwa ndo mwisho wa makali yake kwenye JUKWAA LA KATIBA!!!! Pole pole mwenye njaa ni moto wa kuotea mbali!! Pole pole ana njaa!! wenye akili zao wanajua hivyo na hawana presha naye!! Pole pole aliyeshiba ni kituko hujawahi kuona!!, atakuuliza "unaijua V8 wewe?" hayo ndiyo magari tunayotembelea!! hutamsikia anaongea habari za wamachinga wala nini!! Mama akimsikia hana mbavu!!! ila kwa huruma za mama muda si mrefu atayazimisha makelele ya pole pole ndani ya dk sifuri!! ni kumtupia tu tonge mdomoni tena na shule ya uongozi inafungwa jumla!Polepole kichwa we acha tu
Nappe dawa lako lipo jikoni linachemka taratibu muulize Membe kilichompata kuhusu pesa alizokuwa nazo nje amepewa siku 180 awe ameleta ushahidi wa kuonesha ni Kweli ni mali yake halali siyo aliyoiba kwa miaka (10) akiwa waziri kwenye utawala wa kaka yake kafiri lililomuua Magufuli [emoji23] na wewe nakuhurumia sana maana mambo yako ninayo bado asilimia 30% yakae mikononi mwanguTuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Pole pole amekosea timing ya kupiga...Rest in Fire Jiwe!Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .
Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
Ndo ulivyo waza bado upo nyuma kijanasukuma gang