Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

..huwezi kusema mtu fulani ni " think tank. "

..think tank maana yake ni TAASISI inayofanya utafiti, na kutoa ushauri, kuhusu sera mbalimbali.

..ukiniuliza mimi, kwa hapa Tz, taasisi kama ESRF [ Economic and Social Research Foundation], naweza kuiita think tank / policy institute ya masuala ya sera za uchumi na kijamii.

..kwenye nchi za wenzetu kuna think tanks za masuala mbalimbali kama Foreign Policy, masuala ya ulinzi , masuala ya fedha na uchumi, etc etc.


cc Nguruvi3, Chige, Kiranga, Erythrocyte , MALCOM LUMUMBA
Ndo maana niliumia sana kukosa kazi pale ESRF manake wale ndo hasa tunaweza kuwaita Think Tank, na katu Individual Person hawezi kuwa think tank!
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Vipimo hivyo unavyovitumia ni vya kushabiki,na havitaweza kutoa hibu rational,kwani kila mtu ana ubora wake na udhaifu wake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Unaijua Vieiteee wewe, na huyu mwingine alitembea toka ubungo Hadi magogoni kwa magoti kumuomba jiwe msamaha
Safi sana yaani hao vijana woote hutoa point wakitaitiwa na wote hutoa pumba wakiwa kwenye position
 
WOTE WAGONJWA WENYE UGONJWA UNAOFANANA, TOFAUTI NI KWAMBA WAMELAZWA WODI TOFAUTI.....KWA KIFUPI WOTE NO WAHUNI
 
Hao wote ni vichwa maana ni zaidi ya "Ellon mosk"

Ova
 
Back
Top Bottom