macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hili la ''siasa siyo uadui'' inabidi umfuate Magufuli kaburini umwelimishe.Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.
Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Nyie chadema ni wa ovyo sana. Itikadi mpaka kwenye ugonjwa wa mtu!Mara ya kwanza alitembelewa Wodini na Waziri Mkuu , Jana ametembelewa na Spika wa Bunge , leo ametembelewa na Rais .
Hii ni Bahati kubwa sana !
View attachment 2890779
Hakwenda kumsalimia , alienda kuhakikisha kama kafa au mzimaNyie chadema ni wa ovyo sana. Itikadi mpaka kwenye ugonjwa wa mtu!
Samia bila kujali itikadi alienda kumsalimia kamanda msaliti wakati amelazwa Nairobi, nyie kumsalimia mama wa Halima mnaona nongwa. Mungu anawaona.
Leta ushahidi. Kwani alienda mortuary au wodini?Hakwenda kumsalimia , alienda kuhakikisha kama kafa au mzima
Chunga sana matamanio yako.Mbunge wa CCM tena Spika kumtembelea mama wa mbunge viti maalum kupitia CHADEMA ni jambo la busara sana. Spika ana upendo hata kwa chama kinachokaribia kufa.
Sema alipo halima kuna ester, au alipo mdee kuna bulaya.
Hayo mambo ndo makamu mwenyekiti wao anayapigania kuita ni faragha yasiingiliwe.
hiyo ya mdee na bulaya ni sawa na ule msemo wa "chombo ya fundi"Kwani sasa hivi si wamoja hao? Kuna uadui gani kati yao?
Ila jamani kila alipo Halima kuna Bulaya, mi nataka BFF kama huyo.
Huu upendo ni wa ajabu!
Kifo ni kwa kila mtu. Ongea kitu kingineChunga sana matamanio yako.
Unaweza tangulia wewe kabla ya kuona "kukaribia kufa" kwa CHADEMA.
Mfano hai ni mwendakuzimu.
Hakuna jipya ni kawaida tuSiasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.
Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
nenesenseNi suala la muda tu Halima Mdee atajiunga rasmi na CCM na Taarifa fulani fulani nilizonazo ni kwamba kuna Uwaziri wa Wizara muhimu atateuliwa. Tunzeni hii post yangu tafadhali.
Hakwenda kumsalimia , alienda kuhakikisha kama kafa au mzima
Hivi ni Nonsense au ni hii yako ya nenesense? Halafu nikiwa Nawadharau na kuwaiteni Wapumbavu mnachukia wakati kumbe huwa ninakuwa sahihi 100%nenesense
Acha uchochezi mkuuBila shaka hospitali zote Tanzania ziko hivyo Kwa muonekano na huduma zake.