Siasa si uadui: Dk. Tulia amtembelea mama wa Halima Mdee aliyelazwa hospitali

Hili la ''siasa siyo uadui'' inabidi umfuate Magufuli kaburini umwelimishe.
 
Mara ya kwanza alitembelewa Wodini na Waziri Mkuu , Jana ametembelewa na Spika wa Bunge , leo ametembelewa na Rais .

Hii ni Bahati kubwa sana !

View attachment 2890779
Nyie chadema ni wa ovyo sana. Itikadi mpaka kwenye ugonjwa wa mtu!
Samia bila kujali itikadi alienda kumsalimia kamanda msaliti wakati amelazwa Nairobi, nyie kumsalimia mama wa Halima mnaona nongwa. Mungu anawaona.
 
Mbunge wa CCM tena Spika kumtembelea mama wa mbunge viti maalum kupitia CHADEMA ni jambo la busara sana. Spika ana upendo hata kwa chama kinachokaribia kufa.
Chunga sana matamanio yako.
Unaweza tangulia wewe kabla ya kuona "kukaribia kufa" kwa CHADEMA.
Mfano hai ni mwendakuzimu.
 
Hivi "mujahedeen" wa JF hawajawahi kuandamana sababu ya upupu unaoandika hapa jukwaani!!??
Maana hiyo ID yako na yale unayoyaandika ni mbingu na ardhi.
Sema alipo halima kuna ester, au alipo mdee kuna bulaya.
Hayo mambo ndo makamu mwenyekiti wao anayapigania kuita ni faragha yasiingiliwe.
 
Kwani sasa hivi si wamoja hao? Kuna uadui gani kati yao?

Ila jamani kila alipo Halima kuna Bulaya, mi nataka BFF kama huyo.
Huu upendo ni wa ajabu!
hiyo ya mdee na bulaya ni sawa na ule msemo wa "chombo ya fundi"
 
Hakuna jipya ni kawaida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…