Siasa sio ugomvi bali ni ujenzi wa hoja.. Je ccm wamempongeza LISSU?

Siasa sio ugomvi bali ni ujenzi wa hoja.. Je ccm wamempongeza LISSU?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!
downloadfile.jpg
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Walikusanyana Wajumbe 2000 kuke idodomya. Wakikaa zaidi ya wiki nzima wasijue cha kufanya.

Kumbe Mgombea Mmoja amejiteua😅😅😅
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Hawakulitegemea hili ndugu... Mbowe kwa siasa za ccm nadhani alikua mbwa mzee asojua kunusa tena...walimtaka kwa siasa zake za kikondoo in the name of maridhiano...sasa Samia na chama chake wapunguze zile 4R kwa kuziwekea radical ili zibaki 2R maana huyu mtukutu Lisu atamzeesha tu mapema.
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Hiii mkuu haina ulazima sana,Je CDM walimpongeza Ccm uteuzi wa Wasira?na je wakisihii na Chadema ipongeze itakuwaje?
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422

Siasa inaamua maisha yaendeje maana yake kuanzia

Afya zetu
Elimu yetu
Biashara zetu
Miundombinu Kama barabara ,maji, umeme , yote haya yanaathiriwa na siasa moja Kwa moja.


Hivyo Kazi kubwa ambayo naona wanayo viongozi wa upinzani ni kuhakikisha wanasambaza Elimu ya uraia Kwa watz wengi ili waamke na kujua ukweli.


Ni kweli Ccm inaweza kuwa inamiliki kila kitu cha kuwafanya waendelee kusalia madarakani Ila Ccm hawa hawa hawana uwezo wa kupambana na wakati.



Mbowe na team yake akiwemo Dr Slaa hawa watu walifanya Kazi kubwa Sana hasa kuanzia 2004-2015 katika kukijenga hiki chama.


hapa katikati baada ya ujio wa JPM Chadema iliyumba hasa walipoambia wasifanye mikutano ya hadhara .

Kiukweli kuanzia 2015 baada ya uchaguzi bado chadema haijarudi katika ule mwamko wake .


Nategemea Lissu na Viongozi wenzake wafikirie hasa hilo swala la kuwa sauti ya WATU.
 
Back
Top Bottom