Siasa sio ugomvi bali ni ujenzi wa hoja.. Je ccm wamempongeza LISSU?

Siasa sio ugomvi bali ni ujenzi wa hoja.. Je ccm wamempongeza LISSU?

Ameshapongezwa na Komredi Makala 🐼
Ishi nayo hii
The Best Funny Quotes For Sarcastic Women Who Are_.jpeg
 
Hawakulitegemea hili ndugu... Mbowe kwa siasa za ccm nadhani alikua mbwa mzee asojua kunusa tena...walimtaka kwa siasa zake za kikondoo in the name of maridhiano...sasa Samia na chama chake wapunguze zile 4R kwa kuziwekea radical ili zibaki 2R maana huyu mtukutu Lisu atamzeesha tu mapema.
yupo wa kukinga kifua, wassira
 
Hakukuwa na mkutano kule walikusanya kisha kabla ya kujua kilichowapeleka wakaambiwa mitano tena ... Kisha wakaenda town kuacha na kubeba mbegu
kuna watu waliteuliwa inamaana hawakustahili pongezi mbona nyinyi mnahitaji pongezi...?
 
Mkuu kuna zile siasa fulani alikuwa akizifanya Dr slaa zile zilikuwa siasa zenye kuleta mwamko Kwa wananchi.


Japokuwa Slaa walipishana Ila naamini alikuwa ni hazina .


Zile siasa za Ku-link na jamii moja Kwa moja zinabidi kurudi .
 
Tundu Lissu ni kiongozi mzuri Sana Ila nataka niongee kitu hapa .

Tundu lissu huwa anaongea katika ufahamu wa juu Sana .

Natamani awe anafikiria na hili swala mfano katika kujadili katiba ya nchi n.k ajaribu pia kushusha ufahamu ili kuhakikisha ujumbe unaeleweka kwa watu wengi zaidi.


Maana kuna watu hata katiba hajui ni kitu gani au inahusu nini .
 
Tundu Lissu ni kiongozi mzuri Sana Ila nataka niongee kitu hapa .

Tundu lissu huwa anaongea katika ufahamu wa juu Sana .

Natamani awe anafikiria na hili swala mfano katika kujadili katiba ya nchi n.k ajaribu pia kushusha ufahamu ili kuhakikisha ujumbe unaeleweka kwa watu wengi zaidi.


Maana kuna watu hata katiba hajui ni kitu gani au inahusu nini .
Hii imeenda,maana kuna mtu anasema kuwa Katiba ni kijitabu fulani tu hivi,mtu kama huyu kweli inahitaji muda mrefu kumsomesha.
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Nafikir ungeanza kuhoji kama CHADEMA walimpongeza Rais Samia kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa mgombe wa uraisi.


Pili, ungehoji kama CHADEMA walimpongeza Mh Wasira kwa kuteuliwa kuwa Makamu mwenyekiti bara.


Shida ya watu dhaifu ni kuhisi kila wakati wanataka wao ndio wabembelezwe.
 
Hiii mkuu haina ulazima sana,Je CDM walimpongeza Ccm uteuzi wa Wasira?na je wakisihii na Chadema ipongeze itakuwaje?
😀😀😀
Sasa pale aisee
Ila mvua mwaka huu zinasuasua sana. Nadhani Waafrika Sasa tujikite katika kutafuta dawa za magonjwa sugu Kama Kanda na Ukimwi maana wenzetu wameona wajitoe WHO
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
CCM hatukumtaka huyo. Tulimtaka Mbowe. Unatutonesha kidonga. Pleaaase tuheshimiane. Lissu hatukumtaka sababu sisi CCM tunaona atakiua chama cha cdm.
 
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na pesa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!😂

Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Gentleman,
nadhani kwa chama chenye dhamana na wajibu mzito na muhimu wa kuongoza nchi, hapatakua na muda, nafasi wala fursa ya kubabaika na mambo ya vyama vingine badala ya kujikita katika agenda muhimu ya kuhakikisha ilani ya uchaguzi ya CCM inatekelezwa kwa vitendo na Serikali sikivu ya wanainchi madarakani 🐒
 
Back
Top Bottom