Walikusanyana Wajumbe 2000 kuke idodomya. Wakikaa zaidi ya wiki nzima wasijue cha kufanya.Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na peโโsa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!๐
Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Walipigwa na butwaa waliposikia hakuna kupiga kura mgombea ni huyo huyo๐ ๐ ๐Ameshapongezwa na Komredi Makala ๐ผ
Hawakulitegemea hili ndugu... Mbowe kwa siasa za ccm nadhani alikua mbwa mzee asojua kunusa tena...walimtaka kwa siasa zake za kikondoo in the name of maridhiano...sasa Samia na chama chake wapunguze zile 4R kwa kuziwekea radical ili zibaki 2R maana huyu mtukutu Lisu atamzeesha tu mapema.Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na peโโsa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!๐
Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Ule ni uhuni wa kiwango cha juu sana halafu wanaume na kende zao zinaning'inia wanashangilia na kukenua kama mazuzu.Walikusanyana Wajumbe 2000 kuke idodomya. Wakikaa zaidi ya wiki nzima wasijue cha kufanya.
Kumbe Mgombea Mmoja amejiteua๐ ๐ ๐
Hiii mkuu haina ulazima sana,Je CDM walimpongeza Ccm uteuzi wa Wasira?na je wakisihii na Chadema ipongeze itakuwaje?Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na peโโsa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!๐
Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Ha ha ha dunia haiishi malimwengu๐คฃ๐คฃWalikusanyana Wajumbe 2000 kuke idodomya. Wakikaa zaidi ya wiki nzima wasijue cha kufanya.
Kumbe Mgombea Mmoja amejiteua๐ ๐ ๐
Hakukuwa na mkutano kule walikusanya kisha kabla ya kujua kilichowapeleka wakaambiwa mitano tena ... Kisha wakaenda town kuacha na kubeba mbeguhata masaa 24 hayajafika mmeshaanza hebu tulieni, hivi cdm waliipongeza ccm baada ya ule mkutano wao..?
Tofauti za kimitazamo zisitufanye tufikie ccm inapotaka kutupeleka.. Kuna mwanachama mmoja hapa jukwaani katamka wazi kwamba Anamchukia sana Tundu Lissu Mwenyekiti mpya CHADEMA
Wote tunafahamu ccm walipenda nani apite na tunajua kwa hakika waliwekeza nguvu kubwa kiasi gani, muda, nyenzo na peโโsa pia. Lakini bado wakaangukia pua
Ukisoma riwaya ya Mtunzi maarufu James Hadley Chase ya A sucker punch.. basi unaweza kuona ni kipigo gani cha maudhi ccm imekipata!๐
Anyway...! Mbwa ni mlinzi mzuri sana na mwaninifu pia... Lakini kamwe paka hawezi kumuonesha polisi bangi ilipofichwa...!!!View attachment 3210422
Yaani ktk uzee wake badala ya kutulia na kutubu madhambi akiyoyafanya tangu ujana, kutokana siasa haranu, anaongeza mengine. Dah!Kila mmoja wa CCM anaharisha kivyake popote alipo.
Secret weapon waliyoleta ni Wassira mwenye 80yrs aje apambane na Lissu.