Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Siasa za Kenya kuna wakati zina shangaza sana sasa sijui ni kusalitiana au vipi?
Bunge la Kenya linataka kumkong'oa Naibu wa Rais wa Kenya Rigadhi Gachagua.
Naibu Rais huyo wa Kenya anakabiliwa na tuhuma za kuendeleza ukabila kwa watu wa mlima Kenya pia kutokuelewana na Raisi William Ruto.
Wanaeleza kuwa ni mara kadhaa naibu wa Rais Gachagua hajahudhuria hafla za Rais Ruto.
Siku za hivi karibuni pia Naibu Rais huyo alilalamika kuondolewa kwenye kundi la whatsapp la Raisi Ruto.
Gachagua na wandani wake wamelalamika kuwa pengine washauri wa Rais Ruto wanamshauri vibaya awadharua watu wa mlima Kenya ilihali wao ndio walimpigia kura nyingi.
Nini kinakushangaza kwenye Siasa za Kenya ?
Bunge la Kenya linataka kumkong'oa Naibu wa Rais wa Kenya Rigadhi Gachagua.
Naibu Rais huyo wa Kenya anakabiliwa na tuhuma za kuendeleza ukabila kwa watu wa mlima Kenya pia kutokuelewana na Raisi William Ruto.
Wanaeleza kuwa ni mara kadhaa naibu wa Rais Gachagua hajahudhuria hafla za Rais Ruto.
Siku za hivi karibuni pia Naibu Rais huyo alilalamika kuondolewa kwenye kundi la whatsapp la Raisi Ruto.
Gachagua na wandani wake wamelalamika kuwa pengine washauri wa Rais Ruto wanamshauri vibaya awadharua watu wa mlima Kenya ilihali wao ndio walimpigia kura nyingi.
Nini kinakushangaza kwenye Siasa za Kenya ?