Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #81
Ndio mtumishi wa umma hutakiwi kusemwa semwaKwa katiba mbovu ya Kenya,
Mbunge moja nadhani ilikua March akawasilisha muswada wa Sheria wa kumbandua waziri wa kilimo kwasabb tu aliwahi kutoka na mke wake huko nyuma š¤£
vibaya umesahau hotuba ya Mwalimu JK kuhusu yule waziri
wa Uingereza huku kwetu ndio tuna fichiana fichiana tu
