Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!

Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!

Sasa huoni mnaharibu chama knapasuka,kuna wale wenye msimamo wa chama na kuna nyie wenye njaa.
Magufuri aliwaona hawa watu hawana faida kwa taifa wapo tu kama kupe.
Na yeye alikuwa na faida akenda ficha fedha za nchi China na kujenga mabanda mabanda kwao.
 
Ngoja tuendelee kunywa asali kwanza, tukitosheka ndo tutashughulikia changamoto za raia. Hata hivyo uchumi wetu uko vzr sana na unazidi kuimarika kila siku.
 
Paskali hiyo taarifa unayodai kuipata toka twitter ni ya kipuuzi sana, sio credible source.

Hivi nami na hii fake Id yangu nikienda twitter sasa hivi niseme Samia anaachia kiti ikulu kesho, utaniamini kizembe tu?

Hebu punguza ukada wako.
Naona kaingia Choo cha akina Mdee.
 
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
Udhia si uzia.
 
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali

Salute bwashee
 
Tuupe muda wakati wengi walitarajia mama angekuwa HG kwenye kongamano la UWT.. Bahati mbaya sana hii jumuiya ilishajifia sasa kimewauma wengi wasioipenda CHADEMA kuona mama anaenda kuwa HG
Huko kila siku anafanya nao vikao. Wala hakuna issue sana

Mdee kawapiga knockout,
 
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
umesema kweli kabisa na sasa wanawasamehe wale covid 19 kwani mama kawasamehe kedi nyingi na wao vipi wasisamehe?
pia ruzuku wanalamba,na usishangae wakaunda umoja na ccm au mbowe akarudi ccm,lissu akaenda act na wale wehu wenhine kama yule mpumbavu wa tarime heche ataishia kubwabwaja tu,hivi kweli mbowe atamfukuza ester matiku wakati ni mzazi mwenzie na salum mwalimu?
 
Magufuli hayupo.
1) Aliyefanya Gwajima apate kura 190,000 (84%) na Mdee apate 32,000 (14%)
2)Aliyefanya Tulia amshinde Sugu

3) Aliyefanya Mbowe ashindwe kwa bonge la gepu na Saashisha

4) Aliyefanya Zitto ashindwe kwa gepu kubwa
5)Msigwa apigwe gepu la maana jumlisha Prof Jay
6) Lema ashindwe kwa bonge la gepu Arusha.

Ccm na chadema wote wanamlaumu Magufuli. Wameona kwa vile adui yao aliyewagombanisha hayupo haina haja tena kushupaza shingo.
Hivi mtoa mada unafikiri humu ndani hakuna wafanyakazi wa halmashauri ambao wengi walisimamia kazi za NEC?
Au unafikiri hatuna ndugu kwenye tume ya uchaguzi.. Na baada ya uchaguzi hatuongei yaliyotokea?

Sasa najua muda ni mchache wa Katiba mpya... Basi fanyeni mabadiliko kuwe na Tume huru uone in real life gap za kura katika maeneo uliyoyataja...

Kwa ufupi Spika Tulia anatafutiwa jimbo sehemu nyingine ya kugombea.. Huyo Gambo kwa sasa anatoka jasho... Anajua
 
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
Nimekuelewa SANA
 
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali

Kupokea Ruzuku hamaanisjinkwamba wamekubali matokeo. Hata huko nyuma Chadema hawakukubaliana na matokeo ya uchaguzi pamoja na 2010 na 2015. Kwa hiyo mimi naona ni strategy tu kwa vile wizi wa 2020 ulipitiziza na hauna mfano.
 
Kijungu jiko na wewe ukalia sana kupata walau uDC ukapuuzwa.

Siasa za kijungu Jiko ukafagilia maridhiano Zanzibar ya chadema ukaufyata umejifungia kuzodoa....

Deal with the fact that your enemy is on it again.
Mwandishi wa kinabii wa kizazi hiki. Siku zote huwa siacha kusoma hata sentensi moja ya chapisho lako.
 
Bwana Pascal naona sasa tumefanikisha tulilokuwa tunaliona kwa jicho la mbali,ww ni mtu makini sana na unaona mbali sana,wanaokupinga basi waache wakupinge ila ukweli wameupata na umeweka na ushaid kwenye uzi huu.
kafanikisha nini ?
 
Back
Top Bottom