Siasa za Tanzania kwa saizi ni huru na haki mama Samia mitano tena

Siasa za Tanzania kwa saizi ni huru na haki mama Samia mitano tena

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
Binafsi nina imani na tume ya uchaguzi,nina imani na mahakama,nina imani na serikali, nina imani na uongozi huu wa Mh Samia suluhu Hassani .
Nimeshuhudia maboresho mengi ya mifumo sasa Tanzania iko shwari.

Hapa sasa nimeamini ule msemo wa mabadiliko mtayapata ndani ya CCM .
Naimani 2025 Mama samia anapita tena.
Asanteeeei maoni yangu yaheshimiwe.
 
Binafsi nina imani na tume ya uchaguzi,nina imani na mahakama,nina imani na serikali, nina imani na uongozi huu wa Mh Samia suluhu Hassani .
Nimeshuhudia maboresho mengi ya mifumo sasa Tanzania iko shwari.

Hapa sasa nimeamini ule msemo wa mabadiliko mtayapata ndani ya CCM .
Naimani 2025 Mama samia anapita tena.
Asanteeeei maoni yangu yaheshimiwe.
Sasa wewe kama chawa utawezaje kuwa na maoni tofauti na hayo wakati kwanza wewe uko choka mbaya.
 
Back
Top Bottom