Siasa za Tanzania: Ukabila na Ukanda sasa rasmi, mwanzo wa kuanguka umoja wa Kitaifa-Uchaguzi wa CCM umedhihirisha!

Siasa za Tanzania: Ukabila na Ukanda sasa rasmi, mwanzo wa kuanguka umoja wa Kitaifa-Uchaguzi wa CCM umedhihirisha!

Nini chimbuko la hiki ulichoandika hapa?
Chimbuko lake ni mada yenyewe na mtazamo potofu wa mleta mada.

Maana kuna msemo unasema mjinga usishindane naye, bali mpe cha kijinga alichokitarajia.
 
Sisi tulio makabila madogo na tulio pembezoni, tulionya sana katika miaka y karibuni juu ya kujitokeza vashiri vya Ukanda, Udini na Ukabila katika siasa za nchi.

Sasa zimeanza kujitokeza dhahiri na kwa kila mtu kujionea kwa macho yake yanayoendelea nchini.

Kama kuna kielelezo kinajitokeza ili kila mtu akione ni uchaguzi wa CCM kwa kuwania viti vya NEC.

Kwa princile ya wengi wape basi nchi hii itatawaliwa na watu toka pande fulani tu za nchi.

Tunajua mambo haya kuanzia uchaguzi huu, tulianza na "Mitandao" Awamu ya Tatu na NNe, na Awamu ya Tano ndio ikawa funga kazi, Mwenyekiti wa CCM aliyekuwepo na Rais vile vile alipendelea wazi wazi "wale waliomchagua".

Kama tulikuwa tunaisikia tu Apartheid kwa makaburu -yaani maendeleo ni kwa majimbo fulani tu, sasa laana hii ipo nchini.

The writing is on the walll, umoja wa kitaifa umeanza kupata nyufa.View attachment 2448450
Karma !!
 
Hao wanojisifu wapo wengi, watashangaa, wanaoamua Rais wa Tanzania awe nani ni kamati kuu ya CCM chini ya Rais na wazee kama Kikwete, wao ndio wanaoamua wakate jina la nani waache jina la nani
Lowassa alinunua 80% ya wajumbe wote, lakini kamati kuu ikamchinjia mbali

Nyie mnaojisifia mpo wengi tumieni wingi wenu kupata katiba mpya itakayowapa nguvu wananchi kuchagua kiongozi wanayemtaka, hapo ndio mtaweza kutumia huo wingi wenu kuwa kura, ama nchi itakuwa chini ya Familia chache tu
Nchi hii mafisadi ndiyo yanatoa kiongozi na siyo wananchi
 
Wewe na huyo kiwete wako ndio mtakaoshangaa. Nyie mmekua kina nani mtuamulie waTanzania mtu wa kutuongoza?

Wakati jina la Maembe binamu yake huyo kiwete linakatwa 2015 mpaka rais anakua JPM huyo kiwete alikua hajaanza hizo shughuli za kuamua nani anakua rais Tz? Nyie subirini tu tunawaangalia tunachekea pembeni
Kwani JPM alikuwa amejizatiti kama Lowasa? JPM hakua na nguvu wala mtandao, na ndio kilichombeba
JPM alipojifanya chama ni mali yake na kuwageuka waliomuweka ni nini kilichomkuta? Yupo wapi huyo JPM kwa sasa?
 
kwenye uchaguzi wa umoja wa vijana wa CCM kelele za udini zikaibuka,lakini uchaguzi wa NEC kelele za udini atuzisikii.uzi mwingine huu unalalmikia ukanda na ukabila,shida ni nyinyi watu wa siasa au mifumo?
 
Kwani JPM alikuwa amejizatiti kama Lowasa? JPM hakua na nguvu wala mtandao, na ndio kilichombeba
JPM alipojifanya chama ni mali yake na kuwageuka waliomuweka ni nini kilichomkuta? Yupo wapi huyo JPM kwa sasa?
Kwahiyo chama ni mali ya kiwete? Kilichomkuta JPM kitamkuta na huyo kiwete na alipo JPM ndipo anapoenda na huyo kiwete
 
Sisi tulio makabila madogo na tulio pembezoni, tulionya sana katika miaka y karibuni juu ya kujitokeza vashiri vya Ukanda, Udini na Ukabila katika siasa za nchi.

Sasa zimeanza kujitokeza dhahiri na kwa kila mtu kujionea kwa macho yake yanayoendelea nchini.

Kama kuna kielelezo kinajitokeza ili kila mtu akione ni uchaguzi wa CCM kwa kuwania viti vya NEC.

Kwa princile ya wengi wape basi nchi hii itatawaliwa na watu toka pande fulani tu za nchi.

Tunajua mambo haya kuanzia uchaguzi huu, tulianza na "Mitandao" Awamu ya Tatu na NNe, na Awamu ya Tano ndio ikawa funga kazi, Mwenyekiti wa CCM aliyekuwepo na Rais vile vile alipendelea wazi wazi "wale waliomchagua".

Kama tulikuwa tunaisikia tu Apartheid kwa makaburu -yaani maendeleo ni kwa majimbo fulani tu, sasa laana hii ipo nchini.

The writing is on the walll, umoja wa kitaifa umeanza kupata nyufa.View attachment 2448450
tatizo mnapoeleza mambo haya mnajifanya kuyaeleza kwa hekima/woga bila kupasua kwa kusema ukweli na kutaja nini hasa kimetokea. Mwishowe inaonekana ni nyongo tu baada ya kushindwa ktk uchaguzi...... pasua jibu ili mpone..
 
Watanzania hatuna chochote cha kujivunia zaidi ya umoja wa kitaifa (hilo ndio lilikuwa likitutenganisha na mataifa mengine...

Wapuuzi wachache wanataka kutuondolea na hilo.... Kwangu mimi mtu yoyote anayeendekeza Udini, Umimi, Usisi ni wa kuonea huruma sababu amefirisika ki-fikra...
 
Uchaguzi wa NEC ulikuwaje kikabila? Wajumbe si walitoka pande mbali mbali za nchi na Kwa uwiano Sawa kiuwakilishi, sasa wamependelewa kivip? Tukubali tu kuwa kuna kanda zpo vzuri katika kilimo, kuna kanda zipo vizur katika biashara na kuna kanda zipo vizuri katika siasa!
Mkuu, umoja kama ulivyoshamiri chini ya Mwalimu, hujengwa.
Hauji kwa bahati bahati tu!
 
Sisi tulio makabila madogo na tulio pembezoni, tulionya sana katika miaka y karibuni juu ya kujitokeza vashiri vya Ukanda, Udini na Ukabila katika siasa za nchi.

Sasa zimeanza kujitokeza dhahiri na kwa kila mtu kujionea kwa macho yake yanayoendelea nchini.

Kama kuna kielelezo kinajitokeza ili kila mtu akione ni uchaguzi wa CCM kwa kuwania viti vya NEC.

Kwa princile ya wengi wape basi nchi hii itatawaliwa na watu toka pande fulani tu za nchi.

Tunajua mambo haya kuanzia uchaguzi huu, tulianza na "Mitandao" Awamu ya Tatu na NNe, na Awamu ya Tano ndio ikawa funga kazi, Mwenyekiti wa CCM aliyekuwepo na Rais vile vile alipendelea wazi wazi "wale waliomchagua".

Kama tulikuwa tunaisikia tu Apartheid kwa makaburu -yaani maendeleo ni kwa majimbo fulani tu, sasa laana hii ipo nchini.

The writing is on the walll, umoja wa kitaifa umeanza kupata nyufa.View attachment 2448450
Si mna chama chenu ,CCM inawahusu nini?
 
Chimbuko lake ni mada yenyewe na mtazamo potofu wa mleta mada.

Maana kuna msemo unasema mjinga usishindane naye, bali mpe cha kijinga alichokitarajia.
Kwa mtazamo wangu, mleta mada hana mtazamo potofu, na hata wazo lako uliloandika pale juu halikuwa la kijinga kama unavyofikiri, usijifunge ubongo wako kwa kudhani ulichoandika hakina maana..

Unaweza kufikiria kwa kuanzia pale ulipoandika, au ngoja mimi nikupe hint kidogo..

Huoni sababu ya kihistoria inaweza kuwa chimbuko la siasa zetu kuonekana zimetawaliwa/ongozwa na ukanda wa Pwani?

Vile Nyerere alitoka Bara, akaja Pwani kuungana na wazee wa huku kwenye harakati za kupigania uhuru mpaka ulipopatikana, na vile tujuavyo, ukanda wa Pwani umetawaliwa na watu gani? huoni hili linaweza kuwa chimbuko la dhana ya ukabila na ukanda aliloanzisha mleta mada?
 
Chimbuko lake ni mada yenyewe na mtazamo potofu wa mleta mada.

Maana kuna msemo unasema mjinga usishindane naye, bali mpe cha kijinga alichokitarajia.
Ujinga mkubwa zaidi ni kutoelewa wala kuwa na uwezo wa kupambanua kile kinachoongelewa.
 
Matokeo ya NEC ccm yañaakisi kuhodhi nguvu iliopo na influence yake ndani ya serikali

Wenye nchi wanaepusha wanaohisi wananguvu wasijione wenye mamlaka ya kuamua Tanzania ya kesho hivyo wanawapa wapinzani wao kwanza Ili baadae warudishe nguvu kwa jamhuri kupitia kabila dogo kama zamani ilivyokuwa,ukanda unaouona unalengo la kuondoa mizizi ya wanaohisi chama na nchi ni yao hivyo kuwadhibiti mapema!
 
Asante mkuu.
Kuna watu wanajidai hawalioni hilo tatixo alimradi wanafaidika kwa wingi wao.

CCM isipokuwa makini ,itajitengenezea matatizo ambayo hitaweza kuyatatua siku za usoni.
Ukabila, Ukanda ni lazima vitaimaliza CCM.
Kama ukabila na ukanda ndiyo utaiua CCM basi wote tuunge mkono ukabila na ukanda .
 
Apartheid ni separate needs of development.....among people of different races/needs etc.
Aoartheid , the core sin of development denial based on discrimination and racism.
Tusikipake asali kidonge cha sumu ya ubaguzi unaotunyemelea.
 
WWaWakimaliza kula watu wote kijijini wataanza kulana wao kwa wao.
 
Back
Top Bottom