Zanzibar 2020 Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua

..ooh!...samahani sana kama nimekukwaza.

...Embu niambie...Kuna uwezekano mtu ukapenda kitu chochote bila kutamani?
 
Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on back to normal huku tukiendelea kuponya majeraha ya uchaguzi, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.
Ndio tatizo lenyewe lipo hapo, ukishafanya magumagu na kujinyakulia madaraka kwa njia za panya maisha hayaendi mbele. Unaizungumzia 2025 kama ni kesho kutwa. Nashangaa sana kuona watu wakifiria kama hili suala ni la M.Seif binafsi.

Labda nikukumbushe tuu kwenye historia, CCM ni hao hao walikuwa wakienda na ASP. Walishindwa uchaguzi kabla ya uhuru, wakapindua kwa mkono wa Tanganyika. Unfortunately, maisha hayayakusonga mbele kama ulivyoatarajia. Ni miaka +50 sasa, bado tunajadili tunda la mapinduzi yale nalo ni muungano!

Kuna gharama yake kiongozi akipatiwa msaada wa kupata madaraka kwa njia za ghilba. Hatujaijua gharama ya Dr.Mwinyi kusaidiwa na Tanganyika, lakini historia inatuambia lazima kuna gharama yake. Lazima iwepo hakuna kitu kinapatikana bure, hususan Tanganyika inapowacha watu wake walioko karibu na mipaka na kujikita na visiwa vya Zanzibar. Inatuacha wengi bado midomo wazi!
 
Mayala mimi simjui lakini namuelewa anachosema ukimsoma haraka unaweza kudhani alichoandika ndio kieleweke hivyo inabidi kujiongeza kidogo. Sio kwamba yeye mjinga kiasi cha kuamini uchaguzi ni wa haki. kasema hii ndio mara ya kwanza katika history Zanzibar mtu kushinda 76% sote tunajuwa hakushinda na hata kama kashinda bahati kupata 51%. Anyway hili sio suala la uchaguzi kushinda ila naandika kwa herufu kubwa katiba inabadilishwa theluthi 3 kwa hisani imepatikana kitapita kipindi cha mpito miaka 20 mtu kutawala kisingizio hakuna mtu mwingine wa kuweka mambo sawa, wabunge wote wamechaguliwa na CCM sio wananchi, lazima umpigie magoti anayekulisha
 
Hongera sana Mwinyi. Hongera Sana CCM

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mkuu Bayyo , huwezi kuzuia watu kusema, tena kwenye machungu, watu walioumizwa kwa ndani, wakisema ndio wanapunguza machungu, hivyo ni rukhsa kunitumia mimi kupunguzia machungu.
P
Kwanzaa umsenge.

Lá pili lá pemba halikuhusu.

Lá tatu hayo machungu mumeyasababisha nyinyi sasa pole ni ya nini?

Unafiiki wenu ubakie huko kwenu kwa watanganyika wenzako.


Dhulma mtailipa kwa njia yoyote lililobaki subir teuzi ufanye unyama zaidi kwasababu ndio asili yenu.
 


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…