DOKEZO Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu

DOKEZO Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sababu uliyotaja haiko kwenye barua uliyoambatanisha...

Umetunga sababu sio?

Hapo nimesoma, sababu si baba yao kuwa Chadema bali kauli zake juu ya walimu wa shule hiyo...

Ungetuwekea hapa hiyo kauli aliyoitoa huyo bwana hapa ili tuijadili.
Kwanini asingeadhibiwa yeye kama yeye?? Watoto wanahusika nini?? Kutupandishia hasira bila sababu.
 
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu( REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba 0755075299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa
(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON


Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.
View attachment 3169212View attachment 3169213View attachment 3169214View attachment 3169215View attachment 3169216View attachment 3169217IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU

======

UPDATES ; 0900HRS, 5TH DEC 2024

=======


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda ameshaona taarifa hii na kuchukua hatua. Kaagiza wadhibiti ubora kwenda kwenye Shule hii kufuatilia jambo hili.

Amesema hakuna ubaguzi wowote kwa mtoto wa Mtanzania. Kila mtoto anatakiwa kusoma.
View attachment 3169331

Hatari sana

Sasa kesi ya mzazi mtoto anaingiaje?
Kama hao wazazi wamefanya makosa washughulikiwe kwa makosa yao kwa mujibu wa sheria.

Kumfukuza mtoto shule ni kumnyima haki yake tena kwa kosa ambalo hata halijui. Kwa kweli hili jambo baya sana.

Naamini wahusika watashughulikiwa ipasavyo.
 
Mzazi aliwatukana waalimu, sasa unategemea waalimu wafanye nini? Vipi ilitokea shida shuleni sini mzazi atafanya fujo zaidi..

Mzazi anamakosa Sana..
Your thinking process aisee ...😀,
Kama shida gani inaweza tokea shuleni, na huwa inatokea mara ngapi kwa Mwaka
 
Hivi vyeo vya kupeana kama ahsante, ni aidha vifutwe ama watu waajiriwe kabisa.
Ndio maana tunapata maDC na maRC mabogus kabisa.
 
Unachukua mambo out of context.
Ubishi sio wale kuwa watoto wa Mwanachadema.
Ubishi haujulikani mpaka utajwe.
Huyo mzazi alisema nini kwani?
Mbona barua inajieleza, walimu walisimamia uchaguzi sasa mzazi ambaye ni chadema akamkosoa msimamizi wa kituo cha uchaguzi (Ambaye ni mwalimu) kuwa kama hana uwezo wa kusimamia uchaguzi je atakua na uwezo wa kufundisha wanaye?

Be the judge
 
Your thinking process aisee ...😀,
Kama shida gani inaweza tokea shuleni, na huwa inatokea mara ngapi kwa Mwaka
Siasa zisifanye hadi kuwatukana waalimu wa shule wanaosoma watoto maana wao wanakaa nao muda wote wakati wa masomo kulingana na mzazi kutokuwa na Imani na waalimu. Waalimu wamefanya jambo la busara kuwarudisha watoto kwa wazazi ili mzazi apeleke watoto shule atakayokuwa na Imani na waalimu ... Mbona ni jambo la busara waalimu wamefanya na wameandika na barua inajieleza shule zipo nyingi ..
 
Mbona barua inajieleza, walimu walisimamia uchaguzi sasa mzazi ambaye ni chadema akamkosoa msimamizi wa kituo cha uchaguzi (Ambaye ni mwalimu) kuwa kama hana uwezo wa kusimamia uchaguzi je atakua na uwezo wa kufundisha wanaye?

Be the judge
Mzazi awapeleke watoto kwa waalimu atakaoamini wataweza kuwafundisha watoto wake..
 
Siasa zisifanye hadi kuwatukana waalimu wa shule wanaosoma watoto maana wao wanakaa nao muda wote wakati wa masomo kulingana na mzazi kutokuwa na Imani na waalimu. Waalimu wamefanya jambo la busara kuwarudisha watoto kwa wazazi ili mzazi apeleke watoto shule atakayokuwa na Imani na waalimu ... Mbona ni jambo la busara waalimu wamefanya na wameandika na barua inajieleza shule zipo nyingi ..
Ww huna akili mambo yenu ya siasa yanahusiana nini na watoto? Mambo ya uchaguzi na shule wapi na wapi?au ww ni mojawapo ya hao walimu hapo?
 
Mbona barua inajieleza, walimu walisimamia uchaguzi sasa mzazi ambaye ni chadema akamkosoa msimamizi wa kituo cha uchaguzi (Ambaye ni mwalimu) kuwa kama hana uwezo wa kusimamia uchaguzi je atakua na uwezo wa kufundisha wanaye?

Be the judge
Mkajipange
 
Safi sana, DC na Mkuu wa shule wapandishwe vyeo na Samia
Ndio shida yenu ilipo

Hamjui wakati wa kuungana

Wakati gani wa kuwa serious

Na wakati gani wa utani

Ni bora CCM japo siafiki mambo ya mauaji,
 
Mzazi awapeleke watoto kwa waalimu atakaoamini wataweza kuwafundisha watoto wake..
Ndio lakini sio kususpend watoto, wanahusika kivipi?. Yaani mtoto anasimamishwa kisa ugomvi wa Baba na Mwalimu kwenye zoezi la uchaguzi? Ni sawa na wewe ugombane na doctor alafu mkeo akiwa mjamzito amkatae kuzalishwa ndani ya hospitali hiyo moreover ni ya serikali?
 
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa.

(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON

Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.

Pia soma: √ - Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA

View attachment 3169212View attachment 3169213View attachment 3169214View attachment 3169215View attachment 3169216View attachment 3169217IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
Maelekezo ya DC ni maelekezo ya RC ambaye anapokea maelekezo kutoka mamlaka yake ya uteuzi.

Hivyo wamelifanya zoezi hilo kama pilot plan kupima upepo kabla maeneo mengine hawajaanza utekelezaji
 
Back
Top Bottom