SIAYA, KENYA: Aliyekuwa msimamizi msaidizi katika Uchaguzi Mkuu akutwa ameuawa huko Sega

SIAYA, KENYA: Aliyekuwa msimamizi msaidizi katika Uchaguzi Mkuu akutwa ameuawa huko Sega

SIAYA, KENYA: Aliyekuwa msimamizi msaidizi wa IEBC katika Uchaguzi Mkuu, Caroline Odinga amekutwa akiwa ameuawa baada ya kubakwa.

- Mwili wake ulikutwa katika soko la Sega Jumamosi asubuhi na watu waliokuwa wakielekea katika mazishi ya Mkurugenzi wa TEHAMA wa IEBC, Chris Msando katika kijiji cha Lifunga.
Igwe amekufa
 
Wewe ni kama yule jamaa kwa Biblia aliyeenda kuomba akapata mwenzake anakiri zambi zake na yeye akaanza maombi ya kujisifu eti yeye sio mwenye dhambi kama mwenzake.
wewe tulia, watanzania wamestaarabika, haya mauaji ambayo yanatokea kwenu yangetokea Tz ingekuwa ni story kubwa sababu si mazoea yetu ila kwa Kenya roho kama 50 zikifa sababu ya uchaguzi kwenu ni mafanikio hayo, unaona tofauti ?
 
Sijui kwanini mnalazimisha kuihusisha na siasa kesii hii ilhali inaonekana wazi kuwa ilikua uhalifu wa kawaida... DPO hana kazi yoyote muhimu, kazi yake ni kuzunguka zunguka tu pale ndani ya chumba cha kupigia kura, kwahivyo hakuna sababu yeyote ya mtu ku target DPO, alafu pale ndani ya hicho chumba cha kupiga kura hua kuna PO, DPO na clerks wa sita, hakuna hata wakati mmoja ambapo wanatoka zaidi ya watu wawili ndani ya hicho chumba mpaka jioni baada ya kura zimeshahesabiwa na majibu kutumwa kwahivyo kama ni kumuua DPO kwasababu ya kuficha siri basi itabidi wauwe clerks wote pia manake hio siku ya kupiga kura hua hawaachani pale ndani....


Mnaingiza siasa nyingi kwa maafa haya lakini hamna kitu, huh ulikua uhalifu wa kawaida tu.. Ndio maana walimbaka huyo mwanadada na kuacha evidence (sperm) tele, kama ingekuaa n mauaji ya kisiasa yangefanywa na professionals ambao hawangeacha evidence yoyote
 
Hacha kusema hivyo tena. Uhuru ndio Baba wa Democracy Afrika. Halafu unasema nini.
Kenya wamekufa zaidi ya watu 50 sasa wasio na hatia...
Wameua watoto ...
Wameua waziri Mwandamizi ....
Wameua viongozi wa tume...
Na sasa wanaua hadi viongozi wadogo wa tume...
Hamia huko Kenya nyumbxxx wewe ili ufundishwe vizuri nn maana ya unyang'ua.
 
Sijui kwanini mnalazimisha kuihusisha na siasa kesii hii ilhali inaonekana wazi kuwa ilikua uhaligu wa kawaida... DPO hana kazi yoyote muhimu, kazi yake ni kuzunguka zunguka tu pale ndani ya chumba cha kupigia kura, kwahivyo hakuna sababu yeyote ya mtu ku yarget DPO, alafu pale ndani ya hicho chumba cha kupiga kura hua kuna PO, DPO na clerks wa sits, hakuna hata wakati mmoja ambapo wanatoka zaidi ya watu wawili ndani ya hicho chumba mpaka jioni naada ya kura zimeshahesabiwa na majibu kutumwa kwahivyo kama ni kumuua DPO lwasababu ya kuficha siri basi itabidi wauwe clerks wote pia manake hio siku ya kupiga kura hua hawaachani pale ndani....


Mnaingiza siasa nyingi kwa maafa haya lakini hamna kitu, huh ulikua uhalifu wa kawaida tu.. Ndio maana walimbaka huyo mwanadada na kuacha evidence (sperm) tele, kama ingekuaa n mauaji ya kisiasa yangefanywa na professionals ambao hawangeacha evidence yoyote
Maelezo yote haya hayaondoi harufu ya mauaji ya chuki za kisiasa kutokana na maamuzi aliyotoa wakati wa uchaguzi.
 
The body of a 39-year old secondary school teacher who served as a Deputy Presiding Officer in Ugenya Constituency in Siaya County during the August 8 polls was on Saturday mid morning found dumped along a footpath in Sirowa village, North Ugenya.

The body of the deceased, who has been identified as Caroline Adhiambo, was found along the footpath on Saturday, August 19 at around 11.00 am.
North Ugenya Chief, Joseph Ooko, said that that Ms. Adhiambo’s body was found with deep cuts and it is suspected that she was tortured before being murdered.
“Ms. Adhiambo is said to have left home yesterday (Friday) and has been found dead this morning, she was a teacher at Ugenya High School and served as a Deputy Presiding Officer at Miyare primary school in Ugenya,” Mr. Ooko said.

According to Mr. Ooko, the deceased informed her husband that she was going to pick some items in Ugenya High School before she met her death.

The body has since been removed to Sega Mission Hospital Mortuary ahead of a post mortem as investigations begin to establish the exact cause and motive of the death.

This comes a day after slain IEBC ICT Director, Chris Msando, was buried at his Lifunga Kobiero rural home in Ugenya, Siaya County.

Source: Citizen Tv
Caroline Adhiambo = Caroline Odinga*

Full name = Caroline Adhiambo Odinga*

* = not sure of the correct name spelling. could be Odiga
 
Maelezo yote haya hayaondoi harufu ya mauaji ya chuki za kisiasa kutokana na maamuzi aliyotoa wakati wa uchaguzi.
Hujui DPO ni nani ndo maana unaingiza siasa ndani... PO ndo anafanya maamuzi yote,kitu chochite kikikoseka PO ndo analaumiwa.. DPO hua hana kazi yoyote ya muhimu kabisa!!! Yani hata kuna vituo flani vya kupiga kura ambapo kura xilifanyika bila kuwepo kwa DPO...

DPO kazi yake kubwa ni mpiga kura akiingia pale ndani dpo anamkaribisha anamwambia utahudumiwa pale na clerk 1, alafu akiona mpiga kura ameshaangusha karatasi zake kwa box, anaita, " next" .. Kazi nyengine yake ni kuhakikisha wale officials wote wa iebc wamekula .... Hebu sasa niambie, nani atakia mjinga kiasi cha kumtarget dpo sababu ya siasa???
 
Hizi hapa kazi ya PO na DPO.....

Kazi muhimu za PO inaanza a) mpaka t) hivyo ni vitu ishirini tofauti ambavyo PO anafanya....


Alafu angalia kazi ya DPO a) mpaka d) pekee!, yani hana kazi yoyote mpaka anaandikiwa performs any other duty assigned by the PO....

Yani hata wale clercks wa chini wako na kazi za muhimu na ngumu kumshinda dpo...

WP_20170820_21_14_09_Pro.jpg
WP_20170820_21_12_59_Pro.jpg




Hata hiyo kazi ya dpo hapo c) ambapo anafaa kuregesha mabox ya kupiga kura kule headquarters, si ati ni kitu muhimu, yani kwa kifupi dpo amepewa kazi ya 'mbeba ma box' manake hawezi kurehesha yale mabox pekeyake, lazma aambatane na PO (ambaye ndo atatia sahihi kwamba ma box yalirejeshwa yote) na polisi anayelinda hayo mabox...

Watu wa muhimu pale ndani ya kituo cha kupiga kura ni PO na clerk 1, clerk 1 ndo anatumia ile KIEMS kit kukubalisha watu wapige kura, ile kit ndo inapiga mahesabu ni watu wangapi wamepiga kura, alafu baada ya kuhesabu kura clerk 1 anaweza kumsaidia PO kupiga picha ile form 32A ambayo ndo iko na matokeo kabla kuituma kwa server.... Hao clerks wengine pamoja na DPO ni kama secretaries tu
 
Huu sio utatuzi mzuri wa kutafuta haki, wanaouliwa wana shida gani mbona Kenya mnazidi kujionyesha kuwa bado siasa za huko zinawamaliza ninyi kwa ninyi?

sent from my Tecno W3
 
Back
Top Bottom