Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Rais Msataafu Jakaya kikwete Kuhusu ugombea Urais wa hayati Edward Lowassa na kupatikana Magufuli

Sidhani kama kuna haja ya kumlaumu Rais Msataafu Jakaya kikwete Kuhusu ugombea Urais wa hayati Edward Lowassa na kupatikana Magufuli

Habari jf , nimejaribu kawaza sana kwanini Nchi yetu bado hatujapata Rais Mlutheri mbali na kwamba tuna walutheri wengi?

Walokole nao ni wengi pia kwanini hatujapata Rais mlokole?

Inawezekana kukawa mambo mengi nyuma ya Urais yaani zaidi ya kura za wajumbe.

Lakini Inawezekana pia mfumo kuanzia Mwalimu Nyerere ulishamkataa ENL ,alichofanya JK ni kutekeleza tu.

Hivyo nadhani ni bora kuwa na Akiba ya Maneno kuliko kulaumu tu mzee wa watu.

View attachment 2907983
Sindio maana yake, wakaruka "MKOJO" wakakanyaga "LI-UHARO", wengine wakajidai kupiga push up jukwaani kumdhihaki Lowasa....
 
Nje ya mada "kwa Hiyo hata kama Lowassa angekuwa Rais inamaana suala la kufiwa na Mr. President awamu ya 5 lilikuwa halikwepeki?"
 
Habari jf , nimejaribu kawaza sana kwanini Nchi yetu bado hatujapata Rais Mlutheri mbali na kwamba tuna walutheri wengi?

Walokole nao ni wengi pia kwanini hatujapata Rais mlokole?

Inawezekana kukawa mambo mengi nyuma ya Urais yaani zaidi ya kura za wajumbe.

Lakini Inawezekana pia mfumo kuanzia Mwalimu Nyerere ulishamkataa ENL ,alichofanya JK ni kutekeleza tu.

Hivyo nadhani ni bora kuwa na Akiba ya Maneno kuliko kulaumu tu mzee wa watu.

View attachment 2907983
Tunahitaji rais bora wala sio dini yake. Binafsi rais awe dini yoyote hata awe hana dini au haamini mungu. Mradi ni mwenye mwelekeo wa utu mwenye kupambania maendeleo na uhuru wa taifa, na ni mtu mwadilifu mpenda haki na usawa kwangu ni sawa kabisa. Nyie wenye kutaka urais zamu kwa dini ni watu hatari kwa mstakabali wa nchi yetu.
 
Habari jf , nimejaribu kawaza sana kwanini Nchi yetu bado hatujapata Rais Mlutheri mbali na kwamba tuna walutheri wengi?

Walokole nao ni wengi pia kwanini hatujapata Rais mlokole?

Inawezekana kukawa mambo mengi nyuma ya Urais yaani zaidi ya kura za wajumbe.

Lakini Inawezekana pia mfumo kuanzia Mwalimu Nyerere ulishamkataa ENL ,alichofanya JK ni kutekeleza tu.

Hivyo nadhani ni bora kuwa na Akiba ya Maneno kuliko kulaumu tu mzee wa watu.

View attachment 2907983
Kikwete alitumia kila gia kumpiga stop Lowassa asipate Urais, maana Kikwete alivyo mtu wa visasi alijua na yeye atakiona cha mtema kuni.
Lakini hapo hapo Lowassa alikuwa mtu wa tamaa iliyopitiliza kwa kujilimbikizia mali.
Hilo halipingiki.
 
Undoubtedly lowassa ni mkubwa kiumri kwa Jk..picha inaongea yenyewe.

Siasa/maisha yana mambo mengi.
Mtu anayediriki kupiga dili na kupata hela za kula maisha yake yote na descendants wake wote hawezi kushindwa suala dogo kama la ku cheat umri.samahani kutoka nje ya mada
JK kiumri ni mkubwa kwa ENL
 
Nje ya mada "kwa Hiyo hata kama Lowassa angekuwa Rais inamaana suala la kufiwa na Mr. President awamu ya 5 lilikuwa halikwepeki?"
Hata angepita BCM bwana yule wa sistimu, kachero mbobevu.
Basi tufanye maoni yangeenda kwa yule ex-Spika yule Mnyamwezi mwenzangu, Samuel 6, Low accer pia the same, basi tuashumu angeukwaa yule mzanzibari ndugu wa upande wa Mama naam yule Maalim Se-if.

Mkeka wa 2015/ 2020
Kwa vyovyote vile muda ulikuwa umetutupa mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom