Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapuuza tu bora kuishi mwenyeweHuwa unaimudu vipi sasa?
Ndiyo napinga wagalatia, 😃😃Unabishana na Wagaratia?
Dua ya kuku haimpati mwewe 😃😃😃😃😃😃😃Utapata laana wewe...🤣
Unatetea tu, lakini ukweli unaujua, huyu Mwanamke anayenunuliwa gari na Mpenzi wake alafu anagawa kwa mtu anayempa pesa ya mafuta! Huwa hamueleweki mnataka nini!Aaah hakuna mwanamke haeleweki. Mnakwama wapi vichwa vya familia bwana!!!!
Sasa hapo usichoelewa nini? Unampaje gari bila mafuta?Unatetea tu, lakini ukweli unaujua, huyu Mwanamke anayenunuliwa gari na Mpenzi wake alafu anagawa kwa mtu anayempa pesa ya mafuta! Huwa hamueleweki mnataka nini!
Why not? NawezaUnaweza kujishikilia lakin
Wewe unajua kubembeleza au unataka Mr mwashamba akubembeleze wewe tu?Mwanaume asiyejua kubembeleza❌
Kwa hiyo sisi ambao hatutaki kuishi na mwanamke kinyumba hatuna akili😁😁😁Kwakweli kama hauna akili, basi kaa mbali.
TunabembelezanaWewe unajua kubembeleza au unataka Mr mwashamba akubembeleze wewe tu?
Apo sawa ,unachotaka ufanyiwe , unapaswa uki attract kwa kuwafanyia wengine.Tunabembelezana
Akuna jambo zuri kama kuishi unavyopenda .Safi kabisa, hii ntazingatia