Sidumu kwenye mahusiano

Kosa mbona lipo wazi mkuuuu? Ukipata demu mwingine hakikisha unampa haki ya jinsia yake vilivyo yaan piga show kifundi acha kuramba ramba,, sugua Sana angel Zote usije ukasahau kunyonya ua,,, brooo mwanamke sio ndugu yako ifike wakati akisha kuona asisimka
Zingatia maadili, punguza nono ukimwi bado upo
 
Sawa bro nitalizingatia hilo na nipo kwenye mchakato wa kufind another girl nita apply hili wazo lako zuri alafu nitaleta mrejesho

Thank you so much bro, I wish tungekua pamoja tunashusha alcohol
Tumbili wa mjini Kitu cha Kwanza jitahidi mkune demu vizuri, ukitaka kujua kwamba unafanya vizuri kwenye hii idara Kuna wakati utaona yeye mwanamke mwenyewe anakuomba wewe game, pili jitahidi uwe mtu mwenye msimamo na maamuzi usikubali kupelekeshwa na hisia za mwanamke ukiona Jambo sio zuri limefanywa na mtu wako react hapo hapo Tena kwa ukali mwambie hiki sikipendi na Kama asipokusikiliza mpotezee Kama anakupenda kweli lazima tu utarudi kwako na kukuomba msamaha.Tatu sio kila kitu anachokuomba mtu wako uumpe hili Ni kosa lingine ili umjue vizuri mtu wako Ni vizuri sio kila kitu anachokuomba lazima uumpe sometime mnyime kwa kistaharabu mwambie Mimi huo uwezo wakukupa Hiyo hela kwasasa Sina nimepigika mno labda next time Mambo yakikaa sawa, mpe mtu wako time namaanisha maintain communication na mwenzako isipite muda mwingi bila kuongea nae either kwenye text au normal call ukishindwa kufanya hili kwa ufanisi Ni rahisi kuachwa wakati wewe unadengua Kuna mjuba anamjulia Hali karibia kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…