Sidumu kwenye mahusiano

Sidumu kwenye mahusiano

Punguzeni UMUNGU mtu kidogo jaribuni ku-maintain balance heshima sio mpaka unyenyekewe ka mfalme jamani 😁😁😁😁

relationship is all about knowing each other/maintaining friendship

friends=Partiner for Life
 
Wapi hao? mademu zangu wote nilioelezea nilishawala, pia prositites nilishanunua sana
Mkuu i advice don't be a Nice guy, Women will use you.

Be a bad a**, Kama kuna demu umemuelewa focus on how to eat her bhasi!

Katika kuwala humohumo utakuta kuna mmoja tu akili yako inakwambia She is my wife, Usipo sense kama anafaa kua mke just bang her and go or She will use you!

Alcohol 40% now, I advice stop asking more questions πŸ˜‚!
 
The problem

nadhani umekaa hapo unajadili mapungufu ya hao wenzako vipi wewe ? kwa hizo relstionship you were perfect?? vipi umekaa kujiuliza na wewe unakwama wapi?

kingine sisi hatupend manipulation sana yaan unakua na mwanaume yeye ni ku-order tu na anataka hizo ordering zote uzifuate, ndo mnaita eti heshima 😁😁
πŸ˜‚πŸ˜‚ hapana uwa simtumia afanye kitu tena najitahidi sana kuonyesha upendo kwake kupika, kuangalia movie tunaangalia pamoja tunafurahi pamoja tukitoka tunanunua vitu, tunaenda beach, labda nakosea ambapo siijui ila mara zote uwa namwambia ninapokosea niambie ila ndio hivyo inatokea ananiacha sababu kuu akisema namchezea
 
Mkuu i advice don't be a Nice guy, Women will use you.

Be a bad a**, Kama kuna demu umemuelewa focus on how to eat her bhasi!

Katika kuwala humohumo utakuta kuna mmoja tu akili yako inakwambia She is my wife, Usipo sense kama anafaa kua mke just bang her and go or She will use you!

Alcohol 40% now, I advice stop asking more questions πŸ˜‚!
Haha unapiga tungi,
Sawa bro nitafocus kutokujifanya mpole sana maana Kuna sehemu mtandaoni niliona demu akisema wanawake wanapenda mwanaume mkali
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ hapana uwa simtumia afanye kitu tena najitahidi sana kuonyesha upendo kwake kupika, kuangalia movie tunaangalia pamoja tunafurahi pamoja tukitoka tunanunua vitu, tunaenda beach, labda nakosea ambapo siijui ila mara zote uwa namwambia ninapokosea niambie ila ndio hivyo inatokea ananiacha sababu kuu akisema namchezea
Aya basi huezi jua MUNGU anakuepusha na nini

achana nao utapata mnaependana 😍
ukikosa njoo kwangu πŸ™‚β€β†”οΈπŸ™‚β€β†”οΈ
 
Punguzeni UMUNGU mtu kidogo jaribuni ku-maintain balance heshima sio mpaka unyenyekewe ka mfalme jamani 😁😁😁😁

relationship is all about knowing each other/maintaining friendship

friends=Partiner for Life
Unayoyasema yoote ninayafanya na bado naachwa labda sababu ni kwamba nakua mpole sana
 
Haha unapiga tungi,
Sawa bro nitafocus kutokujifanya mpole sana maana Kuna sehemu mtandaoni niliona demu akisema wanawake wanapenda mwanaume mkali
Yaah mkuu! Usichekelee disrespect from her, Mfano akizidisha umbea, Kuwataja taja wanaume wengine mbele yako au Kama kuna sehemu mmeahidiana kukutana akachelewa kufika mkaripie kwa nguvu bila huruma.

Halafu akiomba msamaha msamehe na umwambie kwa ukali asirudie tena halafu rudinl kwenye kucheka kama kawaida.


25d5b815b278a6fd3fd420528801801e.jpg
 
Yaah mkuu! Usichekelee disrespect from her, Mfano akizidisha umbea, Kuwataja taja wanaume wengine mbele yako au Kama kuna sehemu mmeahidiana kukutana akachelewa kufika mkaripie kwa nguvu bila huruma.

Halafu akiomba msamaha msamehe na umwambie kwa ukali asirudie tena halafu rudinl kwenye kucheka kama kawaida.


View attachment 3185005
Bro unanitamanisha na hizo tungi 😍😍😍
nitafanya hivyo maana nimekua mpole sana kiasi kwamba mpaka kumfuata na nauli yangu namfuata kwao,
Kuhusu kunitajia X zake alianza kunitajia tangu first day tunaonana kabla hata sijamla
 
Je hili swala la kutajiwa ma X zake ni sahihi? Mpaka her first boy alvyomnanlii
Alivyokua anakusimulia na wewe ukawa kichwa
Maji, ukawa unamchekea chekea tu na kuuliza uliza jamaa alikumkunja staili gani πŸ˜‚!

Huyo demu achana nae, usimtafute tena na akikutafuta ongea nae kidogo au kama kwa SMS chati nae kidogo then mwambie uko bussy utamcheki, usimcheki tena, Akianza kuona hard to get atajiengua, aking'ang'ana mtafune, pita hivi.

Tafuta demu mwingine aplly misimamo mipya, Siku nyingine demu wako akianza kukusimulia jinsi alivyoto*** na mshikaji mwingine mkalipie ukiweza mfukuze kabisa ghetoni.

Binafsi hua siruhusu mwanamke afikiri She can use anything kuchukua attention yangu- Her body, Her dress style, Her work whatever, Mi naangalia respect kwanza, If she don't value my boundaries so will I?

Naachana nea at all, Tena namjulisha tu kwamba you lack self respect - Na hapo akiendelea kuleta mashauzi namla, natembea.

Don't be a Nice guy, Do the right things πŸ™Œ
 
Alivyokua anakusimulia na wewe ukawa kichwa
Maji, ukawa unamchekea chekea tu na kuuliza uliza jamaa alikumkunja staili gani πŸ˜‚!

Huyo demu achana nae, usimtafute tena na akikutafuta ongea nae kidogo au kama kwa SMS chati nae kidogo then mwambie uko bussy utamcheki, usimcheki tena, Akianza kuona hard to get atajiengua, aking'ang'ana mtafune, pita hivi.

Tafuta demu mwingine aplly misimamo mipya, Siku nyingine demu wako akianza kukusimulia jinsi alivyoto*** na mshikaji mwingine mkalipie ukiweza mfukuze kabisa ghetoni.

Binafsi mwanamke asije akafikiri She can use anything kuchukua attention yangu- Her body, Her dress style, Her work whatever mi naangalia reslect kwanza, If she don't value my boundaries so will I?

Naachana nea at all, akiendea kuleta mashauzi namlaghai, namla, natembea.

Don't be a Nice guy, Do the right things πŸ™Œ
Bro na hapo ndipo nimejifunza uwa najifanya mpole sana kwa mademu yani najishusha sana kwa mademu mpaka rafiki zangu uwa wananiambia na nadhani hilo ndio sababu kuu ya kufanya demu anichukulie poa

Huyo demu sijui anatatizo gani maana siku ya kwanza nipo nae geto nataka nimle akaanza kuniambia jinsi kutolewa sealed inavyouma, akaniambia ilichukua almost one week na akaanza kusimulia her other X's kiukweli iliniumiza sana kila nikiwa nae nikakumbukia hayo maneno ila thaks god nimeachana nae na simuwazii tena,
Nitajitahidi sana kuwa "a bad guy" na ndicho rafiki yangu mmoja wa kike alivyoniambia kwamba mwanaume unatakiwa uwe mkali na hata mme wake mkali na ndivyo wanawake wanapenda
 
Back
Top Bottom