Sidumu kwenye mahusiano

Sidumu kwenye mahusiano

Kama kichwa cha hapo imeandika, mimi sijawahi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi sita nitaeleza kwa visa vya wanawake watatu.

Wa kwanza nilidumu nae kwa mwezi mmoja, wakaenda kwao likizo baada ya hapo mahusiano yakaisha akawa ana dharau hata nikimwita mara anisimamishe njiani. Kama siku moja aliniambia nisubiri akatoe hela kwa wakala nikasimama kama robo saa hajatokeza. Kila nikimsemesha hajibu message baadae kabisa akanijibu eti alikuwa bado anatoa hela, huyu demu alikuwa analeta dharau sana

Wa pili alikuwa akiishi Magomeni, basi sasa nikadumu nae kwa miezi kama mitatu. Mwanzoni alikuwa yupo na heshima ila baadae akaanza madharau mpaka kufikia kunitukana, nikaacha a nae.

Wa tatu ndio nilimpenda sanaaaa sijawahi kupenda demu kiasi hiki, nilijitahidi kadri niwezavyo tufurahi pamoja na heshima nilimpa kama zote mwanzo alikuwa na wivu nilichelewa kujibu message anakasirika, nilidumu nae almost 6 months tukaja kuachana kisa simjibu message nikajitetea yakaisha. Sasa miezi kama minne imepita nimesafiri hajawahi kuniulizia chochote nilivyo mwambia kama amezingua akaleta kelele nyingi kwamba simpendi namchezea tu, akasema tuachane kwakuwa sina future nae basi na mimi nikamuitikia na sijawahi kumtafuta tena, ila uliniumiza sana kuachana nae.

Wanawake wote hao na wengine wengi niliowahi kuachana nao sijawahi kuona hata mmoja akinisemesha kunijulia hali

Swali?

Kosa langu ni lipi. Au ni focus kwenye mambo ya maana kama Lusaka noti niachane na mademu daima?
•Kwa sasa, focus kwenye maisha yako, malengo, na kujijenga kwanza. Mahusiano bora yatakuja wakati uko tayari na unapokutana na mtu sahihi.

•Kaka, kosa lako ni kuingia kwenye mahusiano na binadamu badala ya robots 😂!

Robots ni zero emotional - Focus kwanza kwenye kusaka noti, maana hela haina wivu wala dharau.

Ila Mapenzi? Acha yajipange yenyewe— wanawake ni kama Wi-Fi password ya Ikulu.

Au ni sawa na kwenda Airpot na Tiketi ya boti 😂!
 
•Kwa sasa, focus kwenye maisha yako, malengo, na kujijenga kwanza. Mahusiano bora yatakuja wakati uko tayari na unapokutana na mtu sahihi.

•Kaka, kosa lako ni kuingia kwenye mahusiano na binadamu badala ya robots 😂!

Robots ni zero emotional - Focus kwanza kwenye kusaka noti, maana hela haina wivu wala dharau.

Ila Mapenzi? Acha yajipange yenyewe— wanawake ni kama Wi-Fi password ya Ikulu.

Au ni sawa na kwenda Airpot na Tiketi ya boti 😂!
Sawa bro ila tatizo kuna mda nikiona watu wapo kwenye relationship najiuliza kwanini sio mimi? Kweli nimeamini unaweza kuwa na upendo wa dhati na bado usipate mtu anaejali hisia zako, tatizo nikisema nisiwe na dem nitaingia kwenye maovu kama nyeto na kununua prostitutes kitu ambacho sikitaki kabisa
 
Sawa bro ila tatizo kuna mda nikiona watu wapo kwenye relationship najiuliza kwanini sio mimi? Kweli nimeamini unaweza kuwa na upendo wa dhati na bado usipate mtu anaejali hisia zako, tatizo nikisema nisiwe na dem nitaingia kwenye maovu kama nyeto na kununua prostitutes kitu ambacho sikitaki kabisa
Ngoja kwanza, mzigo umewahi kula kati ya hao watajwa?

Caution: Kichwani nina 20% za alcohol tayari, kadiri tunapoendelea tunaweza
tusielewane😂!
 
The problem

nadhani umekaa hapo unajadili mapungufu ya hao wenzako vipi wewe ? kwa hizo relstionship you were perfect?? vipi umekaa kujiuliza na wewe unakwama wapi?

kingine sisi hatupend manipulation sana yaan unakua na mwanaume yeye ni ku-order tu na anataka hizo ordering zote uzifuate, ndo mnaita eti heshima 😁😁
 
Back
Top Bottom