Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #121
Wenzangu wa umri wangu wapo na wapenzi miakaHuo umri sio wa kudumu wala kuto kudumu na mademu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzangu wa umri wangu wapo na wapenzi miakaHuo umri sio wa kudumu wala kuto kudumu na mademu
Kiaje nipe mbinuMapenzi ni sanaa.
Hakikisha lifestyle yako ina endana na sanaa ya mapenzi
Sijawahi bro zaidi ya dem mmoja alinifuata eti ananipenda nikamkataaUnamaanisha hujawahi dump demu ila wao ndio wanakudump?
•Kwa sasa, focus kwenye maisha yako, malengo, na kujijenga kwanza. Mahusiano bora yatakuja wakati uko tayari na unapokutana na mtu sahihi.Kama kichwa cha hapo imeandika, mimi sijawahi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi sita nitaeleza kwa visa vya wanawake watatu.
Wa kwanza nilidumu nae kwa mwezi mmoja, wakaenda kwao likizo baada ya hapo mahusiano yakaisha akawa ana dharau hata nikimwita mara anisimamishe njiani. Kama siku moja aliniambia nisubiri akatoe hela kwa wakala nikasimama kama robo saa hajatokeza. Kila nikimsemesha hajibu message baadae kabisa akanijibu eti alikuwa bado anatoa hela, huyu demu alikuwa analeta dharau sana
Wa pili alikuwa akiishi Magomeni, basi sasa nikadumu nae kwa miezi kama mitatu. Mwanzoni alikuwa yupo na heshima ila baadae akaanza madharau mpaka kufikia kunitukana, nikaacha a nae.
Wa tatu ndio nilimpenda sanaaaa sijawahi kupenda demu kiasi hiki, nilijitahidi kadri niwezavyo tufurahi pamoja na heshima nilimpa kama zote mwanzo alikuwa na wivu nilichelewa kujibu message anakasirika, nilidumu nae almost 6 months tukaja kuachana kisa simjibu message nikajitetea yakaisha. Sasa miezi kama minne imepita nimesafiri hajawahi kuniulizia chochote nilivyo mwambia kama amezingua akaleta kelele nyingi kwamba simpendi namchezea tu, akasema tuachane kwakuwa sina future nae basi na mimi nikamuitikia na sijawahi kumtafuta tena, ila uliniumiza sana kuachana nae.
Wanawake wote hao na wengine wengi niliowahi kuachana nao sijawahi kuona hata mmoja akinisemesha kunijulia hali
Swali?
Kosa langu ni lipi. Au ni focus kwenye mambo ya maana kama Lusaka noti niachane na mademu daima?
Sawa bro ila tatizo kuna mda nikiona watu wapo kwenye relationship najiuliza kwanini sio mimi? Kweli nimeamini unaweza kuwa na upendo wa dhati na bado usipate mtu anaejali hisia zako, tatizo nikisema nisiwe na dem nitaingia kwenye maovu kama nyeto na kununua prostitutes kitu ambacho sikitaki kabisa•Kwa sasa, focus kwenye maisha yako, malengo, na kujijenga kwanza. Mahusiano bora yatakuja wakati uko tayari na unapokutana na mtu sahihi.
•Kaka, kosa lako ni kuingia kwenye mahusiano na binadamu badala ya robots 😂!
Robots ni zero emotional - Focus kwanza kwenye kusaka noti, maana hela haina wivu wala dharau.
Ila Mapenzi? Acha yajipange yenyewe— wanawake ni kama Wi-Fi password ya Ikulu.
Au ni sawa na kwenda Airpot na Tiketi ya boti 😂!
Ngoja kwanza, mzigo umewahi kula kati ya hao watajwa?Sawa bro ila tatizo kuna mda nikiona watu wapo kwenye relationship najiuliza kwanini sio mimi? Kweli nimeamini unaweza kuwa na upendo wa dhati na bado usipate mtu anaejali hisia zako, tatizo nikisema nisiwe na dem nitaingia kwenye maovu kama nyeto na kununua prostitutes kitu ambacho sikitaki kabisa
Moja na tatu usifanye, labda mbili inaweza kufanya kazi.Dah hapa nina option tatu nisaidie ipi bora:
1)Kutafuta demu hata mkubwa kwangu anaejielewa
2)kutafuta demu bikra ili aniheshimu baadae
3)kuchezea mademu kwa kuwala na kuwaacha
Hapana kwenye taasisi maarufu hapa nchiniWapi??
Pale buguruni Bakhresa kama Poor Brain
Nipe muongozo broUnapoteza black women ni TAKATAKA
Wapi hao? mademu zangu wote nilioelezea nilishawala, pia prositites nilishanunua sanaNgoja kwanza, mzigo umewahi kula kati ya hao watajwa?
Caution: Kichwani nina 20% za alcohol tayari, kadiri tunapoendelea tunaweza
tusielewane😂!
Hamna ushauri zaidi ya kuwa na akiliNipe muongozo bro
Nipe mbinu mlizosomea cyuba juu ya kudumu na mwanamkeHamna ushauri zaidi ya kuwa na akili
mdogo angu umekua kwakweli 😍wanaume sekta zote tunazitawala kasoro mahusiano
nadhani hiyo ni fair deal
mdogo angu umekua kwakweli 😍