Sidumu kwenye mahusiano

Sidumu kwenye mahusiano

Wanawake hawanaga akiri, usijichoshe nao, jifunze kutongoza kila mwanamke unaye kutana nae njiani au popote, uwe na uwezo wa kumiliki mademu watatu au wanne kwa wakati mmoja, akizungua huyu unahamia kwa yule.

Mapenzi ni mchezo batili sana , ukiwa serious nao utakupeleka usipo taka kwenda,
 
Wanawake hawanaga akiri, usijichoshe nao, jifunze kutongoza kila mwanamke unaye kutana nae njiani au popote, uwe na uwezo wa kumiliki mademu watatu au wanne kwa wakati mmoja, akizungua huyu unahamia kwa yule.

Mapenzi ni mchezo batili sana , ukiwa serious nao utakupeleka usipo taka kwenda,
Umeongea kweli kabisa, zamani nilikua nawaonea huruma madem ila nimekuja kugundua kumbe wao ndio wanakua jau sana ndio maana wengine hawana huruma kabisa na demu
 
Mademu walivyo wengi ww unahangaika nao kabisa, tafuta hela mzeee baba. Yani mimi nikiwa na hela yangu mfukoni huwa natembea kifua mbele na popote napita , naenda mliman city kusaka watoto wa kishua wanao jifanya mambo safi . Tena huwa natongoza kwa kiengeleza[emoji28][emoji28]


Ukijifanya serious na mapenzi hutoboi,
 
Back
Top Bottom