Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #61
Tatizo demu anaonyesha dharauWanafeli sana uvumilivu ni hamna kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo demu anaonyesha dharauWanafeli sana uvumilivu ni hamna kabisa
Una umri gani na wapenzi wako unawatolea wapi?Nipo Dar, kwa mwezi naingiza almost 600k, nimepanga sina mwingine ninae mhudumia zaidi ya mpenzi wangu ambao mara nyingi nakua nao wanaokaa makwao
Nina 23 years old, wapenzi wangu wote walikua wanachuo mmoja ndio anamalizia mwaka wa tatuUna umri gani na wapenzi wako unawatolea wapi?
Utoto.Kama kichwa cha hapo imeandika, mimi sijawahi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi sita nitaeleza kwa visa vya wanawake watatu.
Wa kwanza nilidumu nae kwa mwezi mmoja, wakaenda kwao likizo baada ya hapo mahusiano yakaisha akawa ana dharau hata nikimwita mara anisimamishe njiani. Kama siku moja aliniambia nisubiri akatoe hela kwa wakala nikasimama kama robo saa hajatokeza. Kila nikimsemesha hajibu message baadae kabisa akanijibu eti alikuwa bado anatoa hela, huyu demu alikuwa analeta dharau sana
Wa pili alikuwa akiishi Magomeni, basi sasa nikadumu nae kwa miezi kama mitatu. Mwanzoni alikuwa yupo na heshima ila baadae akaanza madharau mpaka kufikia kunitukana, nikaacha a nae.
Wa tatu ndio nilimpenda sanaaaa sijawahi kupenda demu kiasi hiki, nilijitahidi kadri niwezavyo tufurahi pamoja na heshima nilimpa kama zote mwanzo alikuwa na wivu nilichelewa kujibu message anakasirika, nilidumu nae almost 6 months tukaja kuachana kisa simjibu message nikajitetea yakaisha. Sasa miezi kama minne imepita nimesafiri hajawahi kuniulizia chochote nilivyo mwambia kama amezingua akaleta kelele nyingi kwamba simpendi namchezea tu, akasema tuachane kwakuwa sina future nae basi na mimi nikamuitikia na sijawahi kumtafuta tena, ila uliniumiza sana kuachana nae.
Wanawake wote hao na wengine wengi niliowahi kuachana nao sijawahi kuona hata mmoja akinisemesha kunijulia hali
Swali?
Kosa langu ni lipi. Au ni focus kwenye mambo ya maana kama Lusaka noti niachane na mademu daima?
Sina utoto au unadhani nazingua wapi broUtoto.
Ngoja nikupe ramani ya vita ya hawa viumbe wakati unamtaka inatakiwa uwe mnyenyekevu akikupanga unapangika la sio kwenye ELERI na narudia sio kwenye ELERI ukishamjaza au akishakaa ndani unamwambia sasa mimi utaratibu wangu upo hivi wakati anazungukia mbali yaan MJAMZITOTatizo demu anaonyesha dharau
Ni hivi bro, mwanzo uwa tupo kwenye mapenzi deep ila baadae kuna mmoja alisema namchezea au nitamuoa nikamwambia nitamuoa ingawa niliona nimwambie tu sikua na malengo nae sana, baadae akaanza kusema namchezea na Wala sina nia ya kumuoa eti nitaoa mwingine nitakae tafutiwaTukuulize swali uliingia nao kwenye mahusiano ya sirias umuoe?
Nakushauri tafuta pesa wanawake wana nyenyekea sana kama wakijua unajiweza.. sasa ww unaombwa 20k unaanza sababu kibao unategemea nn?
Ushauri wangu achana mahusiano sirias ya mapenz unapoteza muda wako na pesa zako, tafuta pesa mkuu. Ukijiskia unachukua wa kupiga mnaachana hapo hapo unaendelea mishe zako.
Mapenz ya kugandana ni ya kipuuzi sana
Bro kwamba nimpe mimba? Sitamani kua na mtoto kabla sijao, kuwala uwa na Wala tatizo baadae visa vinakua vingi mpaka tunaachanaNgoja nikupe ramani ya vita ya hawa viumbe wakati unamtaka inatakiwa uwe mnyenyekevu akikupanga unapangika la sio kwenye ELERI na narudia sio kwenye ELERI ukishamjaza au akishakaa ndani unamwambia sasa mimi utaratibu wangu upo hivi wakati anazungukia mbali yaan MJAMZITO
Dah.....🤔🤔! Nimeandika na kufuta kama mara ishirini, ila umedai una 23yrs bado kinda sana. Take it slow na ukiwa na partner hakikisha unamuuliza ni kitu/vitu gani angetamani ubadilike/ubadilishe, ukijua matatizo yako na ukayaacha nadhani suala la kutodumu kwenye mahusiano litabaki kuwa historia.Show au?
Demu wangu wa mara ya mwisho nilimheshimu sana mpaka vilevi niliacha kwasababu yake nilimjali na kumheshimu sana, tatizo alisisitiza kwamba nitamchezea na sita muoa, nishauri bro nitafute demu mkubwa kwangu au demu gani nitadumu naeDah.....🤔🤔! Nimeandika na kufuta kama mara ishirini, ila umedai una 23yrs bado kinda sana. Take it slow na ukiwa na partner hakikisha unamuuliza ni kitu/vitu gani angetamani ubadilike/ubadilishe, ukijua matatizo yako na ukayaacha nadhani suala la kutodumu kwenye mahusiano litabaki kuwa historia.
Tafuta hela, hakuna mwanamke anayekataa kudumu kwenye mahusiano.
Nyeto sijapiga miaka tangu o level, niliahidi kuacha nyeto ni focus kwenye mademi
Miaka 23 bado ni umri wa kupiga punyeto mademu utawakuta mbele kwa mbele
Show au?
Show napiga nzuri tu mpaka demu mwenyewe anakasirika anasema inatoshaUnaniuliza tena
Show napiga nzuri tu mpaka demu mwenyewe anakasirika anasema inatosha
Tafuta hela