Unatakiwa uwe na Hela nyingi na siyo kiasi.kiasi haliwezi kutosheleza mahitaji ya binadamuHela ninazo kiasi na najitahidi nitumie na mpenzi wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakiwa uwe na Hela nyingi na siyo kiasi.kiasi haliwezi kutosheleza mahitaji ya binadamuHela ninazo kiasi na najitahidi nitumie na mpenzi wangu
Maji ya chumvi yanahusikaNisaidie jinsi ya kutoa gundu
Napambana huku nikitamani niwe na demu wangu wa kufurahi nae nikitoka kwenye mapambano broUnang'ang'ana na mahusiano mkuu umejijenga? Mana mengine haya ya kupita tu
Kuna marafiki zangu wamedumu na madem zao miaka sasa, na wana maisha ya kawaida sanaUnatakiwa uwe na Hela nyingi na siyo kiasi.kiasi haliwezi kutosheleza mahitaji ya binadamu
Acha use#&e mzee pambana na maisha kwanza, haya mambo mengine sio ya kukulia attention kabisa. Yaweke kwenya uwiano wa 2/10Napambana huku nikitamani niwe na demu wangu wa kufurahi nae nikitoka kwenye mapambano bro
Zile chumvi za mawe au hata hizi za kawaida?Maji ya chumvi yanahusika
Sawa jamaa, ila Miki nipo mbali na home nimepanga nafurahia sana nikiwa na mwenza maana nikiwa peke yangu nasumbuliwa sana na depresionAcha use#&e mzee pambana na maisha kwanza, haya mambo mengine sio ya kukulia attention kabisa. Yaweke kwenya uwiano wa 2/10
Nipe ushauri sio kunidhihaki madameKama unafanana na mwandiko wako, utaachwa tu.
Mzee mwenzangu hawa vijana wa siku hizi hawana uvumilivu kabisaSasa mtu anatoa hela kwa kutumia ussd codes atatoa hela au atakujibu msg hizo dk 15 kipindi tunakua tunasubiri demu 2 hrs na hamna simu mpaka atumwe dukani ndio upone halafu unafukuzia week nzima. Ungetoboa kweli
Una uhakika wa kupata kias gan monthly na uko mkoa ganSawa jamaa, ila Miki nipo mbali na home nimepanga nafurahia sana nikiwa na mwenza maana nikiwa peke yangu nasumbuliwa sana na depresion
Kwa kuwa ushaamua mwenyewe, may be option ya pili inaweza kuwa na afadhali. Option ya kwanza sikushauri.Akilini mwangu Nimewaza nitafute demu hata mkubwa alienizidi kidogo anaonekana hana mambo mengi au nitafute demu bikra kwakua heshima zote atanipa
Nipo Dar, kwa mwezi naingiza almost 600k, nimepanga sina mwingine ninae mhudumia zaidi ya mpenzi wangu ambao mara nyingi nakua nao wanaokaa makwaoUna uhakika wa kupata kias gan monthly na uko mkoa gan
Tafuta hela, hakuna mwanamke anayekataa kudumu kwenye mahusiano.Kama kichwa cha hapo imeandika, mimi sijawahi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi sita nitaeleza kwa visa vya wanawake watatu.
Wa kwanza nilidumu nae kwa mwezi mmoja, wakaenda kwao likizo baada ya hapo mahusiano yakaisha akawa ana dharau hata nikimwita mara anisimamishe njiani. Kama siku moja aliniambia nisubiri akatoe hela kwa wakala nikasimama kama robo saa hajatokeza. Kila nikimsemesha hajibu message baadae kabisa akanijibu eti alikuwa bado anatoa hela, huyu demu alikuwa analeta dharau sana
Wa pili alikuwa akiishi Magomeni, basi sasa nikadumu nae kwa miezi kama mitatu. Mwanzoni alikuwa yupo na heshima ila baadae akaanza madharau mpaka kufikia kunitukana, nikaacha a nae.
Wa tatu ndio nilimpenda sanaaaa sijawahi kupenda demu kiasi hiki, nilijitahidi kadri niwezavyo tufurahi pamoja na heshima nilimpa kama zote mwanzo alikuwa na wivu nilichelewa kujibu message anakasirika, nilidumu nae almost 6 months tukaja kuachana kisa simjibu message nikajitetea yakaisha. Sasa miezi kama minne imepita nimesafiri hajawahi kuniulizia chochote nilivyo mwambia kama amezingua akaleta kelele nyingi kwamba simpendi namchezea tu, akasema tuachane kwakuwa sina future nae basi na mimi nikamuitikia na sijawahi kumtafuta tena, ila uliniumiza sana kuachana nae.
Wanawake wote hao na wengine wengi niliowahi kuachana nao sijawahi kuona hata mmoja akinisemesha kunijulia hali
Swali?
Kosa langu ni lipi. Au ni focus kwenye mambo ya maana kama Lusaka noti niachane na mademu daima?
Wanafeli sana uvumilivu ni hamna kabisaMzee mwenzangu hawa vijana wa siku hizi hawana uvumilivu kabisa
Mrefu kwa wastan, kama kina Harry potterwewe ni mfupi? Poor Brain
Mbona Kuna marafiki zangu wamedumu na wana maisha ya kawaida sanaTafuta hela, hakuna mwanamke anayekataa kudumu kwenye mahusiano.
tatizo hiyo avatar mkuuMrefu kwa wastan, kama kina Harry potter