Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #101
Nishauri jinsi ya kuondoa "gundu"Labda una gundu ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishauri jinsi ya kuondoa "gundu"Labda una gundu ndugu
Sawa bro labda nianze kamchezo ka ku "hit and run", yani niwe natongoza namla demu alafu tunaachana naenda kwa mwingineMademu walivyo wengi ww unahangaika nao kabisa, tafuta hela mzeee baba. Yani mimi nikiwa na hela yangu mfukoni huwa natembea kifua mbele na popote napita , naenda mliman city kusaka watoto wa kishua wanao jifanya mambo safi . Tena huwa natongoza kwa kiengeleza[emoji28][emoji28]
Ukijifanya serious na mapenzi hutoboi,
Sasa nikitamani ku $ex nifanyaje? Kununua dem siwezi kwakua wengi unakula kwa ndom, na nyeto niliacha kitamboSikukatishi tamaa bali kuna vitu jnaweza kuviweka pembeni ukaendelea na mengine, Kuna siku vitakaa sawa. Kukomaa navyo sasa ni kupoteza tu muda
Nifanyaje broWanawake wa sasa wamekuwa wa tofauti sana mkuu, ni ngumu kujua kwa nini wanakukimbia au mahusiano yanakufa ghafla.
Gundu unaweza kuizuia vipiLabda una gundu ndugu
Kama unataka mahusiano ya kudumu ya kwenda kwenye ndoa. Waone watumishi wa Mungu au wataalamu wabobevu wahusiano. Kama ni mahusiano ya tamaa za ngono tu, usihangaike. Focus kwenye kutafuta pesa. Endelea kuboresha uchumi wako.Nishauri jinsi ya kuondoa "gundu"
Bro hamna alizaliwa na gundu ndio nikasema kama imekuja basi inaweza kuondolewaGundu unaweza kuizuia vipi
Sitaki mahusiano ya Kuoa ila nataka dem nisukume nae siku ikitokea anaolewa akaolewe na mimi niendelee na mambo mengineKama unataka mahusiano ya kudumu ya kwenda kwenye ndoa. Waone watumishi wa Mungu au wataalamu wabobevu wahusiano. Kama ni mahusiano ya tamaa za ngono tu, usihangaike. Focus kwenye kutafuta pesa. Endelea kuboresha uchumi wako.
Miaka 23 umesoma Geology? Katika level gani?Mimi nimesoma geology
Diploma bro, mimi sina akili za kitoto ila kuna demu aliniambia kwamba namchezea sitamuoa akawa hana matumaini na mimi sasa sijui nakosea wapi mpaka aseme hivyo, ila kujali msichana najali sana tu labda pengine ndio sababu naonekana mdhaifu sanaMiaka 23 umesoma Geology? Katika level gani?
Ushauri wangu ni:
- Tafuta pesa kwanza.
- Mrembo atakaekufaa utampata
baada ya kutuliza akili. Warembo wa kuoa / kuanzisha mahusiano
nao wapo wengi tu. Bila shaka
wanakupima na kukuona bado
unaakili za kitoto.
Akikujibu nitagGundu unaweza kuizuia vipi
Fanya unachoona sahihi kwenye mahusiano! Mkuu ni ngumu sana kum-please mwanamke!Nifanyaje bro
Dah hapa nina option tatu nisaidie ipi bora:Fanya unachoona sahihi kwenye mahusiano! Mkuu ni ngumu sana kum-please mwanamke!
Mhh kitita chote hikoNipo Dar, kwa mwezi naingiza almost 600k, nimepanga sina mwingine ninae mhudumia zaidi ya mpenzi wangu ambao mara nyingi nakua nao wanaokaa makwao
Tafuta kaziMimi nimesoma geology
Huo umri sio wa kudumu wala kuto kudumu na mademuNina 23 years old, wapenzi wangu wote walikua wanachuo mmoja ndio anamalizia mwaka wa tatu
Ndio na bado wananikataa baadaeMhh kitita chote hiko
Nimeajiriwa bloTafuta kazi