1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke
wake
6.Awe mwenye upendo
wa dhati
7.Asishike simu ya
mke wake.
8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani
9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.
10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.
MMMH UYO MWANAUME NI WA KUCHUNGUZWA PENGINE SIO KAMILI KULINGANA NA HIZO SABABU AU PENGINE NI KILAZA, MSHAMBA n.k kutokana ni hizi sababu 5,7,8 NA 9 ni 40/60. HAKUNAGA KITU KAMA HIKI.