Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti angependa aolewe naye

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti angependa aolewe naye

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mpole

5.Asimuonee wivu mke
wake

6.Awe mwenye upendo
wa dhati

7.Asishike simu ya
mke wake.

8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani

9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.

10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.



MMMH UYO MWANAUME NI WA KUCHUNGUZWA PENGINE SIO KAMILI KULINGANA NA HIZO SABABU AU PENGINE NI KILAZA, MSHAMBA n.k kutokana ni hizi sababu 5,7,8 NA 9 ni 40/60. HAKUNAGA KITU KAMA HIKI.
 
MMMH UYO MWANAUME NI WA KUCHUNGUZWA PENGINE SIO KAMILI KULINGANA NA HIZO SABABU AU PENGINE NI KILAZA, MSHAMBA n.k kutokana ni hizi sababu 5,7,8 NA 9 ni 40/60. HAKUNAGA KITU KAMA HIKI.
Hiyo namba 9 mbona ipo kwa wanaume wengi wa siku hizi
 
Hiyo namba 9 mbona ipo kwa wanaume wengi wa siku hizi

ATLEAST 9 kuna kusikilizana na kufikia mwafaka juu ya jambo/mipango fulani sio kusikiliza upande mmoja. Yani mwanaume anaemsikiliza mwanamke 100% yani kila kitu ni yes yes sio kamili yani anamatatizo kwa maana yeye sio kichwa cha familia na wala sio kiongozi. Always man is dominant no matter what circumstances otherwise he is inferior!
 
1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mpole

5.Asimuonee wivu mke
wake

6.Awe mwenye upendo
wa dhati

7.Asishike simu ya
mke wake.

8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani

9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.

10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.

huo upuuz si bora ukanune gazeti ujipepee
 
1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mpole

5.Asimuonee wivu mke
wake

6.Awe mwenye upendo
wa dhati

7.Asishike simu ya
mke wake.

8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani

9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.

10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.


Huyo ni bwege sio mme
 
1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mpole

5.Asimuonee wivu mke
wake

6.Awe mwenye upendo
wa dhati

7.Asishike simu ya
mke wake.

8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani

9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.

10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.
Dunia ya leo mwanaume wa namna hiyo hayupo
 
Back
Top Bottom