Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti angependa aolewe naye

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti angependa aolewe naye

Hapo ndipo utaposhangaa maajabu ya mwanamke wa kibongo. Atalalamika unamfatilia sana unambana ila ukimuuliza haya huo uhuru unaotaka wa kuficha ficha simu na kutofatiliwa dhamira yake hasa ni nini kama we ni mke wangu. Atakutolea mimacho na kuanza kutafta excuse ambazo hazina mashiko eti mbona zari na diamond hawashikiani simu.

Pumbavu kabisa unanifanananisha maisha yangu na hao wapuuzi wa mitandaoni.
Umegundua eeeh,wanamuona kama Diamond na Zari ndio role model wa ndoa zao wakati wote ni wale wale tu...
 
Namtaka wa hivo aiseee, sema tu hizo sifa mmezichukulia negatively
 
Pia umesahau ASIWE MSUMBUFU,,, mkewe akimwambiya nimechoka... Mwezi huu wote HUNIGEGEDI...
 
Kuna sehemu nilisoma eti, wanaume Kama hao walisha kufaga kwenye vita ya kwanza ya dunia asee
[emoji28] [emoji28] [emoji28] kweli jf ni sehemu ya kupunguza stress kwa haya maneno...!
 
awe bwege akimfamania mwanaume ndo amuulize eti mkee wangu nini sasa iyo ?? zamu yangu lini ??
 
Sheria ya dini ya kiislam kwa mwanamke anaefanya kazi inasema hivi:Kama mwanamke uliemuoa anafanya kazi au biashara basi mshahara anaoupata au mapato ya biashara anayopata yote huwa yake,yake peke yake,kama anataka kumgaia muwe wake ni hiari yake sio lazima

Kama mwanamme ameoa na anafanya kazi au biashara kile anachokipata ni cha familia,na ni lazima ampe kitu kidogo mke wake cha kutumia kama mke hana hana kipato

Hakika uislam ni dini inayolinda manufaa na haki za wanawake
 
Sheria ya dini ya kiislam kwa mwanamke anaefanya kazi inasema hivi:Kama mwanamke uliemuoa anafanya kazi au biashara basi mshahara anaoupata au mapato ya biashara anayopata yote huwa yake,yake peke yake,kama anataka kumgaia muwe wake ni hiari yake sio lazima

Kama mwanamme ameoa na anafanya kazi au biashara kile anachokipata ni cha familia,na ni lazima ampe kitu kidogo mke wake cha kutumia kama mke hana hana kipato

Hakika uislam ni dini inayolinda manufaa na haki za wanawake
Na sisi Biblia inatuambia kwamba wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa umakini
 
1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mpole

5.Asimuonee wivu mke
wake

6.Awe mwenye upendo
wa dhati

7.Asishike simu ya
mke wake.

8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani

9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.

10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.


haypo huyu mwenye sifa hizi
 
Back
Top Bottom