1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke
wake
6.Awe mwenye upendo
wa dhati
7.Asishike simu ya
mke wake.
8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani
9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.
10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.
Hiyo namba 9 mbona ipo kwa wanaume wengi wa siku hiziMMMH UYO MWANAUME NI WA KUCHUNGUZWA PENGINE SIO KAMILI KULINGANA NA HIZO SABABU AU PENGINE NI KILAZA, MSHAMBA n.k kutokana ni hizi sababu 5,7,8 NA 9 ni 40/60. HAKUNAGA KITU KAMA HIKI.
Hiyo namba 9 mbona ipo kwa wanaume wengi wa siku hizi
1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke
wake
6.Awe mwenye upendo
wa dhati
7.Asishike simu ya
mke wake.
8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani
9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.
10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.
Na utakuwa singo mpaka unaingia kaburiniHuyu mwanaume ni Mimi. Mpaka Leo bado. Nawakaribisha single ladies
Hahaha mwanaume akijua kugegeda tu bas hakuna shida,mengine tutavumiliana[emoji23]Naomba tia neno mkuu
[emoji122][emoji122][emoji122]Ukishakuwa na pesa nyingi usioe
hahahaMi mwanaume wa hivyo simtaki. Huyo mwanaume au msukule sasa?
1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke
wake
6.Awe mwenye upendo
wa dhati
7.Asishike simu ya
mke wake.
8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani
9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.
10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.
Dunia ya leo mwanaume wa namna hiyo hayupo1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke
wake
6.Awe mwenye upendo
wa dhati
7.Asishike simu ya
mke wake.
8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani
9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.
10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.