Umegundua eeeh,wanamuona kama Diamond na Zari ndio role model wa ndoa zao wakati wote ni wale wale tu...Hapo ndipo utaposhangaa maajabu ya mwanamke wa kibongo. Atalalamika unamfatilia sana unambana ila ukimuuliza haya huo uhuru unaotaka wa kuficha ficha simu na kutofatiliwa dhamira yake hasa ni nini kama we ni mke wangu. Atakutolea mimacho na kuanza kutafta excuse ambazo hazina mashiko eti mbona zari na diamond hawashikiani simu.
Pumbavu kabisa unanifanananisha maisha yangu na hao wapuuzi wa mitandaoni.
Sometimes ke huwa na upumbavu wa ajabu sana.Umegundua eeeh,wanamuona kama Diamond na Zari ndio role model wa ndoa zao wakati wote ni wale wale tu...
Hapo kwenye avatar niwewe Mkuu?Mi mwanaume wa hivyo simtaki. Huyo mwanaume au msukule sasa?
Na sisi Biblia inatuambia kwamba wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa umakiniSheria ya dini ya kiislam kwa mwanamke anaefanya kazi inasema hivi:Kama mwanamke uliemuoa anafanya kazi au biashara basi mshahara anaoupata au mapato ya biashara anayopata yote huwa yake,yake peke yake,kama anataka kumgaia muwe wake ni hiari yake sio lazima
Kama mwanamme ameoa na anafanya kazi au biashara kile anachokipata ni cha familia,na ni lazima ampe kitu kidogo mke wake cha kutumia kama mke hana hana kipato
Hakika uislam ni dini inayolinda manufaa na haki za wanawake
1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe
mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke
wake
6.Awe mwenye upendo
wa dhati
7.Asishike simu ya
mke wake.
8.Akimkuta na
mwanaume apite tu,
akitaka kujua ni nani
asubiri nyumbani
9.Awe anamsikiliza
mke wake kwa kila
kitu.
10.Asipende
mwanamke mwingine
zaidi yake.