Haya ndio Makabila 125 ya TANZANIA
Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani.
Waalagwa, (Wasi)
Waakiek,Waarusha,Waassa,Wabarabaig ( Wamang'ati)
Wabembe,Wabena,WabendeWabondei,Wabungu (Wawungu),Waburunge,Wachagga,Wadatoga,Wadhaiso,WadigoWadoe,Wafipa,Wagogo,Wagorowa (Wafiome)
Wagweno,Waha,Wahadzabe (Wahadza) na Watindiga,Wahangaza,WahayaWahehe,Waikizu,Waikoma, Wairaqw( Wambulu),
Waisanzu,Wajiji,Wajita,Wakabwa,Wakaguru,Wakahe,Wakami,Wakara(Waregi)Wakerewe,
Wakimbu,Wakinga,Wakisankasa,Wakisi,Wakonongo Wakuria,Wakutu,Wakw'adza,WakwaviWakwaya,Wakwere ( Wanghwele)Wakwifa,
Walambya,Waluguru,Waluo,Wamaasai,WamachingaWamagoma,Wamakonde,Wamakua (Wamakhuwa) Wamakwe ( Wamaraba) Wamalila,Wamambwe,Wamanda Wamatengo,Wamatumbi,
Wamaviha Wambugwe,Wambunga,WamosiroWampoto,Wamwanga,Wamwera Wandali,Wandamba,Wandendeule,Wandengereko,Wandonde,Wangasa,Wangindo,Wangoni, Wangulu,Wangurimi ( Wangoreme),Wanilamba,(Wanyiramba)
Wanindi,Wanyakyusa, Wanyambo,Wanyamwanga, Wanyamwezi,
Wanyanyembe,Wanyaturu ( Warimi) Wanyiha,Wapangwa,Wapare ( Wasu),Wapimbwe,Wapogolo,Warangi (Walangi) Warufiji,Warungi,Warungu (Walungu),Warungwa,Warwa, Wasafwa,Wasagara,Wasandawe,Wasangu,Wasegeju, Washambaa, Washubi Wasizaki,Wasuba,Wasukuma Wasumbwa,Waswahili,Watemi Wasonjo,Watongwe,Watubuka,Wavidunda,Wavinza,Wawanda,Wawanji,Waware,Wayao,Wazanaki,WazaramoWazigula Wazinza, Wazyoba.
Je, kabila gani halija tajwa hapo ?