😂😂😂😂Be a man...huwez shindana na kulikokuzaaWanaume Wapi, ni wanawake nyie, nyie, tena mmekuwa wahuni sana, shetani anawatumia sana nyie.
Yani wanaume yatufaa kuwa makini sana na nyie wanawake, hakuna kucheka na kima Wala kuwaendekeza.
Ndo tunaowataka nyie,mnaoharibu future za watoto wa watu ili mje kujitutumua humu kwa kuwaponda single mother....mi nakukumbusha tu..just be a man👊Yaani sifa za mwanaume zimeandikwa na mwanamke alafu mwanamke mwenyewe singo maza
Sasa mbona unakua na mawazo ya namna hiyo? Kama hamtaki watoto tumieni kinga.Mkuu mm ni 40+ sio mtoto nishazeeka
😳so sadSifa za mwanaume,yaan mwanaume:
Awe anajua kukutembezea rungu haswa huku anakuchapa makofi kwenye matako/makalio yako na akimaliza hapo inabidi umshukuru kwa kukutembezea rungu na makofi ya kutosha kwenye matako/makalio yako
Huyo ndio mwanaume, hana sifa sizingine za ziada
Naomba kujua umario ni nini1.Anajitambua kuwa yeye ni mwanaume...hivyo anakuwa hana sifa za;
a.Ushoga
b.Vijembe
c.Umbea
d.kususa
e.kusuta
f.kupoteza muda kwa visivyomhusu
g.umario
h.kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I.Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU,kakataa kuoa aliyemtia mimba
j.kusimulia wanawake aliowala (kusifia uzinifu)
k.......
l........
m......
Wanawake,kama kuna pahala nimesahau muendelee
NB:BE A MAN!
Anakula Kwa kutumia! OkayKumtegemea kiuchumi jimama au mwanamke kwa kumtembezea fimbo
Pole sana single father...Lea mwanao uwe mwanaume.PoleeMkuu ROBERT HERIEL ongeza dozi sindano inazidi kufika sehemu sahii
Utaolewa Mkuu acha HasiraPole sana single father...Lea mwanao uwe mwanaume.Polee