Sifa za mwanaume

Wanaume Wapi, ni wanawake nyie, nyie, tena mmekuwa wahuni sana, shetani anawatumia sana nyie.

Yani wanaume yatufaa kuwa makini sana na nyie wanawake, hakuna kucheka na kima Wala kuwaendekeza.
😂😂😂😂Be a man...huwez shindana na kulikokuzaa
 
Yaani sifa za mwanaume zimeandikwa na mwanamke alafu mwanamke mwenyewe singo maza
Ndo tunaowataka nyie,mnaoharibu future za watoto wa watu ili mje kujitutumua humu kwa kuwaponda single mother....mi nakukumbusha tu..just be a man👊
 
Ni hatari kuoa single mother hata Kama wewe. Ulimp mtu Mimba usioe single mother
 
😳so sad
 
Naomba kujua umario ni nini
 
wanawake weusi mara nyingi wana malalamiko sana nakisirani.ndio Mana wengi nisingo mama.mtaoza hivyo hivyo nauweusi wenu Kama kiwi
Hongera wewe uliyemweupe afu wenye rangi zao wanakuita african
 
sisi mapadri tunakaa kundi gani?
Kwenu studio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…