Tena bingwa haswaa, nikisusa nimesusa kweli sitingishwi.Sad! One man down
Basi kama ndo hivo basi me bado sana ntaolewa tu mwakani😂ubahili,pesa ni yao hatuwez ipigia mahesabu.Achana nao
Sio kwamba nidharau tunayowaonyesha ila hii hali ni baada ya nyinyi kutukataa wakati hamna mimba na kutuzungusha kweli, sasa mtu anaona bora akwachie mzigo wako au tuseme mshahara wa usumbufu kuanzia kutongozana hadi kwenye situation hiyo!Ndo msidharau single mother wakati nanyi ni singlefather
😂nasemaje ndugu,humkuti mwanaume thabiti anaongea vibaya kwa MTU yeyote yule....mwanaume unamjua tu kwa kauli zakeHumu zimejaa thread za kukashfu wanawake hadi naanza kuona kama wanaume ni kama kuna fuse zimelegea.
Yani watu wanatelekeza watoto mitaani hakuna anaesema. Wanabaka kutwa ila hakuna anaesema. Wanawakatili wanawake ila hawayaoni. Yaani wao ni kukashfu tu. Af ukifatilia historia ya huyo mwanaume ni kama dishi lilichezaga. So wote wa design hiyo sku hizi nawavua vyeo. Mwanaume na akili zake timamu na noti mfukoni hana mda wa kudiscuss mapungufu ya mwanamke ambae ana uwezo wa kukuzaa.
Mbona povu zito sana madam[emoji23]No one is perfect....kama wewe ni perfect kwann usiwe Mungu...usinglemother wake,shuruba zake wewe kinakutesa kipi....kazalishwa sawa,it's her business.... Hajaolewa,sawa it's out of your business.... Unamdharau kwa lipi
....kakufanya nn...kakupunguzia kipi? Umemkalia tako mwana wa mwenzio kakupunguzia nini kwa usiglemother wake....BE A MAN....YAAN KAKA ...KUWA MWANAUME!!!
Wale wavaa vile vipensi vipo juu ya magoti na all-stars mhhh hapana kwa kweli😂😂😂😂ukuje mom,ukuje yaan
Mambo ya taikoni unayajua wewe mkuu,mi nakumbusha tu mwanaume kujitambua uanaume wake.Be a man...vichambo waachie kina Aisha mashauz.Nilitarajia kuona namba 2. baada ya namba 1 na vipengele vyake.
Naona unajibu mapigo baada ya mashambulizi ya maroketi toka kwa taikoni.
Mie kususa siachi no matter what.
Aah kumbe hamna kosa? Bas nmekuelewa ni hilo tuNi sawa na kukataa kuoa asiye na tako,mrefu,mfupi,mlemavu,mnene,mwembamba.I mean it's your choice mkuu