To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
- Thread starter
- #41
Labda useme wewe cute,mwanaume anapenda vya umbea mpaka mwanamke wewe ndo unaona aibu...akikaa kumjadili MTU mpaka unajiuliza ivi wanaompa heshima huko ofisini wanajua hiliWell said[emoji1490][emoji1490][emoji1490]unakuta mwanaume ana gubu la kike balaa mwanaume anaongea maneno yanamtoka kama kala mavi ptyuuuuu mwanaume unaongeaje hvo humezi mate….SOME MEN SHOULD MANUP THEMSELVES [emoji57]