Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

Hawafikii haya madungaembe ya kitanzania
Wewe hujuu waganda labda awe wakuoka kasikazini kule kwa kony ila sio pale kati kati, sisi watantania tunaendesha mapezi kwa mihemko bila akili ndo maana tunapendwa sana, mtanzania kumnunulia mpezi wake wa wiki
moja simu ni kawaida, kwabb wengi sie ni limbukeni wa mapenzi.
 
Sasa huyu haombi wala hapendi kupewa vya bure, na ana zile nyege natural sio mikunguru yetu inaigiza kila kona ya maisha
 
East Africa hamna nchi yenye warembo kushinda Tanzania ila sio mbaya mwanaume kuchovyachovya.

Hongera kwa kuwakilisha Taifa
Kila inchi ina warembo ila ni swala la location. Kuna sehemu ukienda kenya unakutana na mabinti wazuri balaa. Hadi unajiuliza hapa ni kenya kweli?

Kuna sehemu unaenda Uganda unakutana na warembo wazuri balaa.

The same kwa Tanzania.
 
Hapo kwenye maji hadi nimesikia kinyaa. Aiseee sipendi ile kitu. Mwanamke akiwa anatoa yale maji maji naona kama uchafu au taka mwili.
 
[emoji28][emoji28][emoji28] penzi jipya alafu unajitangazia jamhuricyako mapema hivi subir kwanza
 
Mkuu hapa hapa waganda ni wasafi saana hawana harufu yeyote tena unaweza kuwala na usinawe mkono baada ya kula
Mkuu nimeishi Kampala tena Mengo ambako hakuna tofauti sana na Masaki na sijawahi kudate na binti wa Kigandq kwamuwa hawatumii maji kujiswafi.. Yaani wanafanana Tabia na mabinti wa Nairobi
Labda uniambie mabinti wa Kinyankole hawa ni wasafi sana!
Unajua STD ziko juu sana Kenya na Uganda ukiitoa Jinja na Mombasa kwa sababu ya kupenda uzungu kuliko uafrika?
 
Basi anawezakua mnyankole ila sasa nilitaka kujua wengi wao kwenye ndoa wanafaa au ndo ivo tena wanaroho mbaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…