Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

Hawafikii haya madungaembe ya kitanzania
Wewe hujuu waganda labda awe wakuoka kasikazini kule kwa kony ila sio pale kati kati, sisi watantania tunaendesha mapezi kwa mihemko bila akili ndo maana tunapendwa sana, mtanzania kumnunulia mpezi wake wa wiki
moja simu ni kawaida, kwabb wengi sie ni limbukeni wa mapenzi.
 
Wewe hujuu waganda labda awe wakuoka kasikazini kule kwa kony ila sio pale kati kati, sisi watantania tunaendesha mapezi kwa mihemko bila akili ndo maana tunapendwa sana, mtanzania kumnunulia mpezi wake wa wiki
moja simu ni kawaida, kwabb wengi sie ni limbukeni wa mapenzi.
Sasa huyu haombi wala hapendi kupewa vya bure, na ana zile nyege natural sio mikunguru yetu inaigiza kila kona ya maisha
 
East Africa hamna nchi yenye warembo kushinda Tanzania ila sio mbaya mwanaume kuchovyachovya.

Hongera kwa kuwakilisha Taifa
Kila inchi ina warembo ila ni swala la location. Kuna sehemu ukienda kenya unakutana na mabinti wazuri balaa. Hadi unajiuliza hapa ni kenya kweli?

Kuna sehemu unaenda Uganda unakutana na warembo wazuri balaa.

The same kwa Tanzania.
 
Ok mie sio mwanaume Ila nimekaa nao kwa muda. Sifa ya wanawake was kiganda
Moja Ni wasafi Sana. Wengi wao Ni weusi. Wengi wamejaliwa miguu na shape(Ila Wanawake wa kitanzania wazuri Sana zaidi yao). Tamaduni zao mwanamke akifikia umri wa kuvunja ungo wanafanya Labia pulling so wengi wao vinanihii vyao viko nje, Kama mwanaume sio mzoefu nao Basi unaweza hisi mwenzio intestines ziko nje kumbe amevuta nanihii[emoji23]. Ok Wana maji namaanisha maji Yale ya kurusha kabisa wakati wa tendo Hadi mwanaume anaoga kabisa[emoji4]. Wana Heshima Sana. Najua wanaume wa kitanzania hawapendi wanawake wenye maji so I feel sorry for you[emoji1]. Hao waachie tu wanaume wa kiganda maana wao mwanamke akiwa Hana maji Ni aibu anatangazwa kwamba don't go there huyo mkavuu..
Hapo kwenye maji hadi nimesikia kinyaa. Aiseee sipendi ile kitu. Mwanamke akiwa anatoa yale maji maji naona kama uchafu au taka mwili.
 
Ndugu wananchi ....

Bwana kwenye pirika pirika zangu za kuachika nimejikuta nimenasa kwa mtoto bint wa kiganda.
Huyu binti ni binti kweli kifua kimesimama,miguu nyama figure nyembamba kifupi ni wa kawaida ila anamvuto kwenye mapenzi.

Hajui kiswahili sema wabongo washa advance wanapeleka umbea kwa lugha yeyote siku hizi ivo alichoimba konde boy kweli tuwafiche tuu (namfichaa) maana walishampa habari zangu na mabalqa ya kuzusha zamani wakati mi nilimficha.

Msichana huyu alinisumbua kidogo kumpata, isingekua kusoma tution cuba nisingempata...

Kilicho nivutia.
1. Anamsimamo wa dini, siku moja walimtumua church kisa alivaa nguo fupi (japo kunawengne wanavaa fup zaid) lakini yeye alilichukulia swala lile very positive na kunishangaza kwakusema "those who loves, will tell you the thrue no matter it heart how much" alibadili na kufurahia ibada.
2. Alinisumbua saana kwenye kumzangamua japo diploma ya cuba iliinisaidia akaliwa... kwa shart la kupima ngoma na homa ya ini.
3. Sio goldiger
4. Hard worker
5. Anaheshima na hofu

Binafsi namuona ka ndiye mke wangu ndoa yangu ya pili sa kabla sijaamua kuoa niongezeeni sifa kuu za wanawake wa kiganda na je ni watunzi wa ndoa na familia?

Karibuni....
[emoji28][emoji28][emoji28] penzi jipya alafu unajitangazia jamhuricyako mapema hivi subir kwanza
 
Mkuu hapa hapa waganda ni wasafi saana hawana harufu yeyote tena unaweza kuwala na usinawe mkono baada ya kula
Mkuu nimeishi Kampala tena Mengo ambako hakuna tofauti sana na Masaki na sijawahi kudate na binti wa Kigandq kwamuwa hawatumii maji kujiswafi.. Yaani wanafanana Tabia na mabinti wa Nairobi
Labda uniambie mabinti wa Kinyankole hawa ni wasafi sana!
Unajua STD ziko juu sana Kenya na Uganda ukiitoa Jinja na Mombasa kwa sababu ya kupenda uzungu kuliko uafrika?
 
Mkuu nimeishi Kampala tena Mengo ambako hakuna tofauti sana na Masaki na sijawahi kudate na binti wa Kigandq kwamuwa hawatumii maji kujiswafi.. Yaani wanafanana Tabia na mabinti wa Nairobi
Labda uniambie mabinti wa Kinyankole hawa ni wasafi sana!
Unajua STD ziko juu sana Kenya na Uganda ukiitoa Jinja na Mombasa kwa sababu ya kupenda uzungu kuliko uafrika?
Basi anawezakua mnyankole ila sasa nilitaka kujua wengi wao kwenye ndoa wanafaa au ndo ivo tena wanaroho mbaya?
 
Back
Top Bottom