Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

Mayimpwe

New Member
Joined
Sep 29, 2021
Posts
4
Reaction score
8
Jamani najikuta nawaza sana hivi nitatoa lini? Mbona muda unazidi kusonga? Shauku ya kuoa inakuja mara inapotea, ukimpata unayempenda changamoto inakuwa kiuchumi unakuwa hauko vizuri, ukiwa vizuri kiuchumi wakumuona humuoni

Jamani mpaka inafikia hatua nawaza nini kinanisibu au kuna mkono wa mtu katika hili rika langu, kwenye mtaa ninakoishi karibu wote washaoa mpaka na vijana ambao wamezaliwa nawaona

Imenishushia heshima katika jamii nadharaulika na kila mtu mpaka home. Ushauri wenu tafadhali, nahisi imeniaffect kisaikolojia.
 
asante kwa kumpa ukweli wa mambo. tena ukiwa nazo wanajigonga wenyewe. kazi yako ni wewe kachagua yupi ana tako zuri zaidi uweke ndani huku wengine ukiendelea kuwala kinyemela.
Mwamba anachanganya stress za maisha na kutaka kuoa kisa eti fulan kaoa😄😄atakata moto.

Ajiimarishe kwanza kiuchumi kila kitu kitajileta.
 
Mwamba anachanganya stress za maisha na kutaka kuoa kisa eti fulan kaoa😄😄atakata moto.

Ajiimarishe kwanza kiuchumi kila kitu kitajileta.
Atajipa matatizo zaodi ukioa wakati hela huna....dharau atakazopata tola kwa mke wake atashangaa...mwisho wake ni kutombewaaa tuu mke
 
Back
Top Bottom