Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

Mzee wangu alishanishauri kwanza niwe vizur financially ndio nioe, usispeculate shit
Heshima nikitu cha bure ambachoo hununui kwa mtu unajua kwanini wanaume wenye hela hawadumu nawake zao asilimia kubwa ni wale wanaotafuta pamoja ndio unakuta wanadumu.
Kwa sababu ya haya madharau uliyonayo huwezi ongea unaelekea kuwatusi watu tena hao unawatusi ndio mama zako au wanawake ambao unaexpect kuwa oa sio lazima mimi .
Ila hao ambao walikutamani either huko mitaani au hata humu jf ila kwa madharau yako tu na unavyo watreat like shit ndio unaendelea kuwa single .

Nakama umebahatika ndoa basi huyo anakujulia kwa malipizo yake kwako naunatulia either anakutusi ama anakufanyia jambo unaona hukuwa right.

Why wanawake wenye hadhi wanaenda kuolewa kwenye double au hata single rooms choo outside nikwasababu kubwa moja tu wanapata furaha , upendo , kudekezwa , wanaume wasio nazo wanafuatwa hadi nawatu wenye magari yao wakiombwa ndoa .

Nyie baba madharau mnachunwa hadi damu , maji mnaachwa mkijisemea wenyewe kama vichaa kila siku you have new relationships .
Hudumu why wewe niumiza kichwa ndugu.

Hela sio kila kitu usipojua kuishi hata hizo hela hupati utaishia kushangaa tu miaka inaenda kisa huna hulka njema na watu .
Ni hilo tu..


Watu wote wangesubiri kujiweza kimaisha pengine tusingepata wakuu wa nchi, wakuu wa wilaya au wa mkoa .

Maisha nikuingia ndani yake nakupambana.
 
Heshima nikitu cha bure ambachoo hununui kwa mtu unajua kwanini wanaume wenye hela hawadumu nawake zao asilimia kubwa ni wale wanaotafuta pamoja ndio unakuta wanadumu.
Kwa sababu ya haya madharau uliyonayo huwezi ongea unaelekea kuwatusi watu tena hao unawatusi ndio mama zako au wanawake ambao unaexpect kuwa oa sio lazima mimi .
Ila hao ambao walikutamani either huko mitaani au hata humu jf ila kwa madharau yako tu na unavyo watreat like shit ndio unaendelea kuwa single .

Nakama umebahatika ndoa basi huyo anakujulia kwa malipizo yake kwako naunatulia either anakutusi ama anakufanyia jambo unaona hukuwa right.

Why wanawake wenye hadhi wanaenda kuolewa kwenye double au hata single rooms choo outside nikwasababu kubwa moja tu wanapata furaha , upendo , kudekezwa , wanaume wasio nazo wanafuatwa hadi nawatu wenye magari yao wakiombwa ndoa .

Nyie baba madharau mnachunwa hadi damu , maji mnaachwa mkijisemea wenyewe kama vichaa kila siku you have new relationships .
Hudumu why wewe niumiza kichwa ndugu.

Hela sio kila kitu usipojua kuishi hata hizo hela hupati utaishia kushangaa tu miaka inaenda kisa huna hulka njema na watu .
Ni hilo tu..


Watu wote wangesubiri kujiweza kimaisha pengine tusingepata wakuu wa nchi, wakuu wa wilaya au wa mkoa .

Maisha nikuingia ndani yake nakupambana.

Duh! Ok sema nimeipenda flan

Ila i can feel kama una stress [emoji848]
 
Ishi maisha yako wewe kama wewe usiishi kwa kuangalia Binadamu, ukiona hali yako kifedha iko vizuri waweza kutafuta Mke utakayependezwa naye.
 
Acha pombe na sigara ndo vinashusha heshima yk
Labda kama unakunyaa matapu tapu!
Mtu unakunywa Double black label ina cost around 130,000/= huna njaa, uko na kazi/biashara yako tamu unapata wapi wa kumshusha heshima huyu mwamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Apo kila mtu anatamani awe chawa wako, kama mond vile, hakijaoa kinachafua vidada vya watu still watu wanataman hata wakapige nae picha tu
 
Jamani najikuta nawaza sana hivi nitatoa lini? Mbona muda unazidi kusonga? Shauku ya kuoa inakuja mara inapotea, ukimpata unayempenda changamoto inakuwa kiuchumi unakuwa hauko vizuri, ukiwa vizuri kiuchumi wakumuona humuoni

Jamani mpaka inafikia hatua nawaza nini kinanisibu au kuna mkono wa mtu katika hili rika langu, kwenye mtaa ninakoishi karibu wote washaoa mpaka na vijana ambao wamezaliwa nawaona

Imenishushia heshima katika jamii nadharaulika na kila mtu mpaka home. Ushauri wenu tafadhali, nahisi imeniaffect kisaikolojia.
Ukiwa hujaoa inaonekana muhuni tu
 
Jamani najikuta nawaza sana hivi nitatoa lini? Mbona muda unazidi kusonga? Shauku ya kuoa inakuja mara inapotea, ukimpata unayempenda changamoto inakuwa kiuchumi unakuwa hauko vizuri, ukiwa vizuri kiuchumi wakumuona humuoni

Jamani mpaka inafikia hatua nawaza nini kinanisibu au kuna mkono wa mtu katika hili rika langu, kwenye mtaa ninakoishi karibu wote washaoa mpaka na vijana ambao wamezaliwa nawaona

Imenishushia heshima katika jamii nadharaulika na kila mtu mpaka home. Ushauri wenu tafadhali, nahisi imeniaffect kisaikolojia.
Mjomba tafuta pesa,,heshima ya kwanza dunia hii kwa sasa ni kuwa na pesa nyingi sio kuoa au kuolewa,,jaribu tu uoe hapo halafu ukawa huna pesa dharau utayopata itakuumiza utaona mara mia ya hii unayopata sasa hivi,,,na ile kuwa na pesa tu kuna wanawake watakuja wengi mpaka utawakataa
 
Kuna sehemu nilienda kuomba mchongo fulani.

Nikaulizwa "Umeoa" Nikajibu "Hapana"

Yule Dingi akasema "Hatuna nafasi kwa vijana ambao hawajaoa"

Nilirudi nawaza kuwa bila kuoa nako ni kukosa credibility pahala fulani,

Hata vitaasisi vidogovidogo vya mikopo ukienda kama huna mke kupewa mkopo probability inakuwa ndogo, wanahisi mtu aliyeoa kukimbia na mkopo ni ngumu tofauti na bachelor.

Ukioa kuna ka-respect fulani unapewa kitaa,especially kijamii kama misiba,sherehe mana mkeo ndo anakuwa anaku-represent.
Waarabu au wahindi hao kuna jamaa aliulizwa umeoa akasema bado wakamwambia we unaonekana muhuni Sana hamna kazi hapa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom