Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

Billgate hana mke lakini heshima kwake dunia nzima, kua na hela uone kama kuna mtu atakudharau hata usipooa maisha yako yote
 
Billgate hana mke lakini heshima kwake dunia nzima, kua na hela uone kama kuna mtu atakudharau hata usipooa maisha yako yote
Na ata ukitaka kuwagegeda wanawake wanne kwa wakati mmoja watakubali tuu
 
Kwanini unajali sana kuhusu watu wanafikiria nini kuhusu wewe? je wana mchango na wanakusaidia chochote kwenye maisha yako?
Tambua maisha yako ni yako peke yako na ishi unavyoweza na sio kuishi ili kufurahisha wengine sababu mwisho wa siku wote mtakufa tu.

Na nakukumbusha kitu kimoja muhimu: kwamba unaishi mara moja tu.
 
Kuna sehemu nilienda kuomba mchongo fulani.

Nikaulizwa "Umeoa" Nikajibu "Hapana"

Yule Dingi akasema "Hatuna nafasi kwa vijana ambao hawajaoa"

Nilirudi nawaza kuwa bila kuoa nako ni kukosa credibility pahala fulani,

Hata vitaasisi vidogovidogo vya mikopo ukienda kama huna mke kupewa mkopo probability inakuwa ndogo, wanahisi mtu aliyeoa kukimbia na mkopo ni ngumu tofauti na bachelor.

Ukioa kuna ka-respect fulani unapewa kitaa,especially kijamii kama misiba,sherehe mana mkeo ndo anakuwa anaku-represent.
 
Kwanini unajali sana kuhusu watu wanafikiria nini kuhusu wewe? je wana mchango na wanakusaidia chochote kwenye maisha yako?
Tambua maisha yako ni yako peke yako na ishi unavyoweza na sio kuishi ili kufurahisha wengine sababu mwisho wa siku wote mtakufa tu.

Na nakukumbusha kitu kimoja muhimu: kwamba unaishi mara moja tu.

Moon [emoji287] Knight
 
Hiyo kitu ni moto sana, nimeiacha kwanza nangoja zijae iwe complete season ili ni binge-watch
Yeah mkuu marvel kwa hapa wamepatia, ila hayo maumivu ya kusubiri mpaka season iwe complete yamenishinda kabisa bora maumivu ya kusubiri kila wiki.
 
Kwanini unajali sana kuhusu watu wanafikiria nini kuhusu wewe? je wana mchango na wanakusaidia chochote kwenye maisha yako?
Tambua maisha yako ni yako peke yako na ishi unavyoweza na sio kuishi ili kufurahisha wengine sababu mwisho wa siku wote mtakufa tu.

Na nakukumbusha kitu kimoja muhimu: kwamba unaishi mara moja tu.
Nakazia: MARA MOJA TUUU.
 
Yeah mkuu marvel kwa hapa wamepatia, ila hayo maumivu ya kusubiri mpaka season iwe complete yamenishinda kabisa bora maumivu ya kusubiri kila wiki.

Hahah watu tuko tofauti

Marvel Cinematic Universe special thread
 
Jamani najikuta nawaza sana hivi nitatoa lini? Mbona mda unazidi kusonga? Shauku ya kuoa unakuja mara inapotea, ukimpata unaempenda changamoto inakuwa kiuchumi unakuwa hauko vizuri, ukiwa vizuri kiuchumi wakimuona humuoni jamani mpaka inafikia hatua nawaza nini kinanisibu au kuna mkono wa mtu katika hili rika langu kwenye mtaa ninakoishi karibu wote washaoa mpaka na vijana ambao wamezaliwa nawaona imenishushia heshima katika jamii nadharaulika na kila mtu mpaka home ushauri wenu tafadhali nahisi imeniaffect kisaikolojia.
Ndoa ni Taasisi.

Mwenye Ndoa anaongoza Taasisi.

Mwenye Ndoa ni mfano wa Kiongozi wa Taasisi.

Jamii ni muunganiko wa Taasisi mbalimbali.

Ili uheshimike katika jamii lazima ufuate yale ya jamii.

Kama jamii yako inakutaka kuoa, basi tazama wakati na mtu wako sahihi kutekeleza hilo.
 
Ndoa ni matokeo, kama bado hujaoa maana yake huna sababu ya kuoa.

Muda wa kuoa ukifika utaoa tu, tena nafsi yako itakulazimisha hata kama mwili hautaki.
 
Back
Top Bottom