Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Mleta mada njoo usome hii commentHueshimiwi kwasababu Huna hela, tafuta hela Acha ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada njoo usome hii commentHueshimiwi kwasababu Huna hela, tafuta hela Acha ujinga
Hamna mbususu yamo peke yako hapa duniani....ni mwendo wakushare tuuMshaurini mwanaume mwenzenu jamani asijekuolea mtaa
Mdanganye mwenzioRelax, ndoa si mashindano. Piga kazi, kula vizuri na jipende. Man has no expire date.
Mshirikishe Mungu utaoa .Jamani najikuta nawaza sana hivi nitatoa lini? Mbona mda unazidi kusonga? Shauku ya kuoa unakuja mara inapotea, ukimpata unaempenda changamoto inakuwa kiuchumi unakuwa hauko vizuri, ukiwa vizuri kiuchumi wakimuona humuoni jamani mpaka inafikia hatua nawaza nini kinanisibu au kuna mkono wa mtu katika hili rika langu kwenye mtaa ninakoishi karibu wote washaoa mpaka na vijana ambao wamezaliwa nawaona imenishushia heshima katika jamii nadharaulika na kila mtu mpaka home ushauri wenu tafadhali nahisi imeniaffect kisaikolojia.
Hadi lini??wanaokudharau jipange uwatafunie hao wake zao wanaoachiwa 2000 ya matumizi kwa siku
Baba ako hakuoa akiwa napesa .Hapo tatizo huyu haeshimiwi sababu hayuko vizuri kiuchumi, hiyo ndio sababu... Mkuu tafuta hela hamna atakaejali umeoa au haujaoa!
Hao hao wanaokudharau watakuita boss/mkubwa etc
KhaHamna mbususu yamo peke yako hapa duniani....ni mwendo wakushare tuu
Ukweli mchungu huo
AiseUkweli mchungu huo
Changamkia fursa mrembo usije ikafika stage unaanza kuomba ambaye ilimradi anapumuaNjoo unioe 😎😎
Wewe Hujazisoma Nyakati? Hao wanaokudharau hususan Ke wanataka uwaoe wao. Wanajipitisha-pitisha kwako halafu wanaona ziii. Wewe kaza uso kama gumegume na utafika muda utaoa tuu. Usioe kwa kutaka kuridhisha mtaa. Hao hao ndo watakuja kukucheka, Watakuja kukuzomea na kukukejeli wakati mambo yatakapokuendea mrama kwenye ndoa yako na itakuwa ni wakati ndoa ishakuwa Ndoana.Jamani najikuta nawaza sana hivi nitatoa lini? Mbona mda unazidi kusonga? Shauku ya kuoa unakuja mara inapotea, ukimpata unaempenda changamoto inakuwa kiuchumi unakuwa hauko vizuri, ukiwa vizuri kiuchumi wakimuona humuoni jamani mpaka inafikia hatua nawaza nini kinanisibu au kuna mkono wa mtu katika hili rika langu kwenye mtaa ninakoishi karibu wote washaoa mpaka na vijana ambao wamezaliwa nawaona imenishushia heshima katika jamii nadharaulika na kila mtu mpaka home ushauri wenu tafadhali nahisi imeniaffect kisaikolojia.
UmeonaenheeChangamkia fursa mrembo usije ikafika stage unaanza kuomba ambaye ilimradi anapumua